Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Kaká ninge jamani za ww
Huku kwema kabsa mdogo wangu,,kumekucha salama huko??Kwema jamani sijui kwako
Kaká ninge jamani za ww
Huku kwema kabsa mdogo wangu,,kumekucha salama huko??Kwema jamani sijui kwako
SawasawaUache tu
Sasa huko ni kuibiana.Askofu Mkuu wa Kanisa Katoliki nchini #Uganda, Cyprian Kizito Lwanga amependekeza wafanyakazi ambao ni Wakristo wakatwe 10% kwenye mishahara yao kila mwezi kama fungu la kumi, na fedha hizo ziwasilishwe kanisani.
View attachment 915836
Kwema dada angu??kumekucha salama huko?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
hebu weka pcha tuone ulivosisimka
Kwani na mie binamu yko?
Ebu shangaa jamaniSasa huko ni kuibiana.
Karibu tushirikianeMungu yupo kwa kweli, humu naona ushirikiano wa kutosha hadi raha
Kwahiyo unampa eenh na akimaliza kuangalia ayanyonye kabisa![]()
![]()
![]()
sawa mke mweee
Shikamoo kaka ningendakoAisee,,,ngoja leo niichungulie hii
Kumekucha salama watoto wako wa kudownload wanaendeleaje jamaniHuku kwema kabsa mdogo wangu,,kumekucha salama huko??
Bado asubuhi wewe binti wa daslamuKwahiyo unampa eenh na akimaliza kuangalia ayanyonye kabisa
Karibu mamy jisikie upo nyumbani humu kuna amani zote na furahaMungu yupo kwa kweli, humu naona ushirikiano wa kutosha hadi raha
Marhaba dada,,kwema huko?Shikamoo kaka ningendako
Ni salama kabisa,pole na majukumu ya sikuKwema dada angu??kumekucha salama huko?
Bado asubuhi wewe binti wa daslamu









Kwani nimeongea kipi kibaya mm jamaniNdiwooooKwahiyo unampa eenh na akimaliza kuangalia ayanyonye kabisa

hizi tafiti nyengine ni za chini ya mvungu wa kitanda.