Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,081
- 464,063
Wapi shunie wangu mbona hadimu
Uchovu bado haujaisha jamani mwili wote unauma au ninunulieni kungfu mtaniona
Wapi shunie wangu mbona hadimu
Uchovu bado haujaisha jamani mwili wote unauma au ninunulieni kungfu mtaniona
...namba nilitumiwa lakini majanga niliyokutana nayo kwenye hiyo namba hata ungekuwa mlokole ungesalimu amri. Ni namba ya mganga kutoka Nigeria
Bora ulivyompa no hii nyimbo iisheOohsikutekwa mwee
Hahahah nilimpa kafurahijee
Ahaa kumbe kuna binamu mwingine nitambulishe basi anitambue![]()
Uchovu bado haujaisha jamani mwili wote unauma au ninunulieni kungfu mtaniona
Uchovu bado haujaisha jamani mwili wote unauma au ninunulieni kungfu mtaniona
kungfu?ukianza kulia hapa nani atakubembelezaBora ulivyompa no hii nyimbo iishe
....wewe tena, usingesema haya ningesema labda kuna mtu kaingia humu kwa jina lako wakati unaburudika na mdumange
![]()
Kwahiyo binamu ndio mm haoDuh, pole kwa uchovu aunt yangu mwenyewe. Ilikuwa kazi kweli kweli
![]()
Na ww binamu nakupenda jamani![]()
![]()
![]()
EiiishBinamu mimi unanipenda kidogo tu!![]()
Huyo ni binamu mpya anamuonea wivu obeEiiish
Mshakuwa mtu na binamu yake tena
Haya kila la heri
Nakupenda binamuBinamu mimi unanipenda kidogo tu!![]()
Kaaah kumbe ulikuwa wimbo wa taifaBora ulivyompa no hii nyimbo iishe
Umenikumbusha 1990 mwalimu mwanjisi alikuwa ndio ametoka JKT alitukimbiza mzee.mchakamchaka daaSafi Sana kijana, kuna ule wimbo wa muda kdg , "vijana msilale ,lale lale vijana msilale bado mapambano "
Kazi ngumu hiyoDuh, pole kwa uchovu aunt yangu mwenyewe. Ilikuwa kazi kweli kweli
![]()
Niambie naona chombo kimeiingia mwambie awe mpole nipo kwa ajili yake.