...namba nilitumiwa lakini majanga niliyokutana nayo kwenye hiyo namba hata ungekuwa mlokole ungesalimu amri. Ni namba ya mganga kutoka Nigeria
Bora ulivyompa no hii nyimbo iisheOoh[emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]sikutekwa mwee
Hahahah nilimpa kafurahijee
Ahaa kumbe kuna binamu mwingine nitambulishe basi anitambue [emoji16]
Na ww binamu nakupenda jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji19][emoji19][emoji19]
Uchovu bado haujaisha jamani mwili wote unauma au ninunulieni kungfu mtaniona
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kungfu?ukianza kulia hapa nani atakubembelezaUchovu bado haujaisha jamani mwili wote unauma au ninunulieni kungfu mtaniona
Binamu mimi unanipenda kidogo tu![emoji19][emoji19][emoji19]Na ww binamu nakupenda jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bora ulivyompa no hii nyimbo iishe
....wewe tena, usingesema haya ningesema labda kuna mtu kaingia humu kwa jina lako wakati unaburudika na mdumange
![]()
Kwahiyo binamu ndio mm haoDuh, pole kwa uchovu aunt yangu mwenyewe. Ilikuwa kazi kweli kweli
![]()
Na ww binamu nakupenda jamani[emoji23] [emoji23] [emoji23]
EiiishBinamu mimi unanipenda kidogo tu![emoji19][emoji19][emoji19]
Huyo ni binamu mpya anamuonea wivu obeEiiish
Mshakuwa mtu na binamu yake tena
Haya kila la heri
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kwahiyo binamu ndio mm hao
Nakupenda binamuBinamu mimi unanipenda kidogo tu![emoji19][emoji19][emoji19]
Kaaah kumbe ulikuwa wimbo wa taifaBora ulivyompa no hii nyimbo iishe
Umenikumbusha 1990 mwalimu mwanjisi alikuwa ndio ametoka JKT alitukimbiza mzee.mchakamchaka daaSafi Sana kijana, kuna ule wimbo wa muda kdg , "vijana msilale ,lale lale vijana msilale bado mapambano "
Kazi ngumu hiyoDuh, pole kwa uchovu aunt yangu mwenyewe. Ilikuwa kazi kweli kweli
![]()