Makapuku Forum

Makapuku Forum

Ndiwooo
Kila akiingia akitoka abj kaondoka bila kuniachia no ya simu

...kulikuwa kuna mtu ananiloga nisipewe namba ya simu, sasa nimepewa namba nimerogwa tena imekuwa namba ya mganga toka naijeria na anaongea kiswahili utasema mkwere au mluguru. Anko wangu jamani mimi sijui nimemkoseaga nini jamani. Anayejua aje aniambie, zawadi nono nitatoa na wala hutahangaika na ile bilioni moja iliyotangazwa
 

..wenzako wamesoma hadi darasa la saba, wewe umekomea la 3 hata mtihani wa la 4 hukufanya
giphy.gif
 
...kulikuwa kuna mtu ananiloga nisipewe namba ya simu, sasa nimepewa namba nimerogwa tena imekuwa namba ya mganga toka naijeria na anaongea kiswahili utasema mkwere au mluguru. Anko wangu jamani mimi sijui nimemkoseaga nini jamani. Anayejua aje aniambie, zawadi nono nitatoa na wala hutahangaika na ile bilioni moja iliyotangazwa
Kwahiyo no uliyopewa ya mganga wa kienyeji
 
.
Screenshot_20181015-225255.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_20181015-225255.jpeg
    Screenshot_20181015-225255.jpeg
    115.9 KB · Views: 18

Similar Discussions

Back
Top Bottom