Huyo ni binamu mpya anamuonea wivu obe
Kaaah kumbe ulikuwa wimbo wa taifa
Umenikumbusha 1990 mwalimu mwanjisi alikuwa ndio ametoka JKT alitukimbiza mzee.mchakamchaka daa
Niambie naona chombo kimeiingia mwambie awe mpole nipo kwa ajili yake.
Mzima bibie mbona kimya
Mzima mm kapwil za ww
Nimepotea nina uchovu hata kuingia jf naona uvivu
Hii week nilikuwa na harusi ya uncle wangu unajua wasambaa tena tunavyopenda mdumange na matarumbeta
Darasa 3Ulikuwa darasa la ngapi hapo
Ndiwooo
Kila akiingia akitoka abj kaondoka bila kuniachia no ya simu
Darasa 3
Mbona hukunipa kadi bosi
Sawa muhenga mwenzanguDarasa 3
Kwahiyo no uliyopewa ya mganga wa kienyeji...kulikuwa kuna mtu ananiloga nisipewe namba ya simu, sasa nimepewa namba nimerogwa tena imekuwa namba ya mganga toka naijeria na anaongea kiswahili utasema mkwere au mluguru. Anko wangu jamani mimi sijui nimemkoseaga nini jamani. Anayejua aje aniambie, zawadi nono nitatoa na wala hutahangaika na ile bilioni moja iliyotangazwa
Aisee mulize binamu yako shunie atakueleza kama sikufanya mtihani wa darasa la NNE...wenzako wamesoma hadi darasa la saba, wewe umekomea la 3 hata mtihani wa la 4 hukufanya
![]()