The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Everton inatafakari uhamisho wa aliyekuwa kiungo cha kati wa Arsenal na Manchester City Samir Nasri, mwenye umri wa miaka 31. Marufuku ya kutumia dawa za kutitimuwa misuli iliyomkabili mchezaji huyo raia wa Ufaransa inakamilika mwezi ujao. (Daily Mail)
