Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,297
AINA YA WATU NA VITU 10 VINAVYOUDHI ZAIDI UKIWA OFISINI
1.Kuongea na simu kwa sauti kubwa, mpaka kila mtu anajua unaongea nini na nani
2.Kula vyakula vyenye harufu kali ofisini, pengine kwa mazoea au pengine wewe unamamlaka makubwa hapo ofisini
3. Mtu ana miaka mitatu kazini na hawezi kufanya kazi zake mwenyewe. Mbaya zaidi wakubwa wanajua na hawachukui hatua yoyote.
4. Kuzungumzia siasa au dini ofisini wakati ofisi haifungamani na siasa wala dini yoyote.
5. Wafanyakazi ambao muda wote wamechanganyikiwa au wanalalamika muda wote. Inaudhi kufanya kazi na watu wa namna hii
6.Kubonyeza Keyboard kwa nguvu au kupiga kelele ofisini
7. Vikao visivyoisha.
8. Ndugu wa bosi kuwadharau wafanyakazi wengine au kujipa mamlaka na kutaka heshima eti tu kwa kuwa yeye ni mtu wa karibu wa bosi
9 Kuja na watoto ofisini
10. Watu wenye Majungu. Wengine hushinda kwenye dawati la mfanyakazi mwenzie akipiga soga na kusahau kazi yake.
1.Kuongea na simu kwa sauti kubwa, mpaka kila mtu anajua unaongea nini na nani
2.Kula vyakula vyenye harufu kali ofisini, pengine kwa mazoea au pengine wewe unamamlaka makubwa hapo ofisini
3. Mtu ana miaka mitatu kazini na hawezi kufanya kazi zake mwenyewe. Mbaya zaidi wakubwa wanajua na hawachukui hatua yoyote.
4. Kuzungumzia siasa au dini ofisini wakati ofisi haifungamani na siasa wala dini yoyote.
5. Wafanyakazi ambao muda wote wamechanganyikiwa au wanalalamika muda wote. Inaudhi kufanya kazi na watu wa namna hii
6.Kubonyeza Keyboard kwa nguvu au kupiga kelele ofisini
7. Vikao visivyoisha.
8. Ndugu wa bosi kuwadharau wafanyakazi wengine au kujipa mamlaka na kutaka heshima eti tu kwa kuwa yeye ni mtu wa karibu wa bosi
9 Kuja na watoto ofisini
10. Watu wenye Majungu. Wengine hushinda kwenye dawati la mfanyakazi mwenzie akipiga soga na kusahau kazi yake.
TUOMBE: