Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,166
Kamati ya Kimataifa ya Olimpiki (IOC) imeichagua Senegal kuandaa michezo ya Olimpiki kwa vijana (Summer Youth Olympic Games) mwaka 2022. Michezo hiyo itafanyika katika miji ya Dakar, Diamniadio na Saly. Nafasi hiyo pia ilikuwa ikiwaniwa na Botswana, Nigeria na Tunisia.