Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
hapo tutabishana sana!.Hahhahha na hiyo 30 haujafikisha hiyo nakataaa
hapo tutabishana sana!.Hahhahha na hiyo 30 haujafikisha hiyo nakataaa
@Lyon Lee ndio najuana nae nje ya jf [B][SIZE=7]Obe hata kumjua simjui hata anavyofanana kuna mda nahisi ni mbabu hivi mzee halafu kuna mda nahisi kijana kaben10 flani kiufupi binamu Obe simuelewi[/SIZE][/B]
Kujuana nje ya jf sio big deal wick hata mm na ww tunaweza juana kikubwa ni kujiamini
Watu wengi humu jf hawajiamini ndio mana baadhi hawataki kujuana na watu
Asubiri itwa babu tu watoto wawili ajanjaruke tafuta nini tena!..Badae sasa ushamba ukiisha atabadili kila demu mpaka utajiuliza ni huyu kweli
Hahahahahaha kuku na maharage na nini kingine
..ha hahhahaha, JF kokoro hili, tunajuana na wengine ni marafiki ambao hatujakutana. Yupo mdau mmoja tulikuwa hadi tunatembeleana ofisini, tulikuwa marafiki wazuri na yupo mrembo mwingine yuko sekta ya afya alikuwa ananisaidia sana aisee na ndiyo maana napaheshimu hapa nikijua wapo watu na viatu ila watu wengi kuliko viatu.
Mimi ni kijana fulani hivi wa makamo ila nina mambo ya kizee, si unaonaga hata nyimbo zangu nazosikilizaga. nina mvi za kimaskini na kakitambi ambako kila siku najitahidi kukaondoa kwa kupiga shots za whiskey na bia. oh, karibu Mtwara, ila kwa sasa nipo Lindi kwa muda
![]()





Eiiish huwa mnafikiliaga hilo hata kama mna watotoAsubiri itwa babu tu watoto wawili ajanjaruke tafuta nini tena!..
Nahis salaam itatoshaaa kabisa make beg lishajaa![]()
![]()
![]()
![]()
Me nakuweka mwisho 30 ingawa straight ni 28 wewe!..
Nimecheka kwa sauti






Me nakuweka mwisho 30 ingawa straight ni 28 wewe!..
Me huwa nasema nikiweza lengeshewa na toto likatoka purely genuine product!.. Ujinga wote nauacha, mama akee ndio nitamvumilia!..Eiiish huwa mnafikiliaga hilo hata kama mna watoto
Me huwa nasema nikiweza lengeshewa na toto likatoka purely genuine product!.. Ujinga wote nauacha, mama akee ndio nitamvumilia!..
We bana 30 hujainusa!.. ingawa unaitaka sana ikupe confidence flani!.Nitake radhi jamani nimevuka uko
Unanirusisha utotoni tena jamani





We bana 30 hujainusa!.. ingawa unaitaka sana ikupe confidence flani!.
aahh wapi wewe!.. halafu vibahasha vyako vinajaa ahadi tu!.
Acha ubishi mm ni bibi tukinao sema mwili niliokuwa nao mzuri sio wa kuzeeka nitakutumia kibahasha
Hivi kiben10 ni range umri gani kwanza!?..
Ana maakili makubwa lakini kiben10
Binamu ndio mana huwa nasema sikuelewi
Yaan huwa natamanigi sana kukujua
Korosho zangu ndio hutaki kuniletea ndio basi tena