Makapuku Forum

Makapuku Forum

@Lyon Lee ndio najuana nae nje ya jf [B][SIZE=7]Obe hata kumjua simjui hata anavyofanana kuna mda nahisi ni mbabu hivi mzee halafu kuna mda nahisi kijana kaben10 flani kiufupi binamu Obe simuelewi[/SIZE][/B]


Kujuana nje ya jf sio big deal wick hata mm na ww tunaweza juana kikubwa ni kujiamini

Watu wengi humu jf hawajiamini ndio mana baadhi hawataki kujuana na watu

..ha hahhahaha, JF kokoro hili, tunajuana na wengine ni marafiki ambao hatujakutana. Yupo mdau mmoja tulikuwa hadi tunatembeleana ofisini, tulikuwa marafiki wazuri na yupo mrembo mwingine yuko sekta ya afya alikuwa ananisaidia sana aisee na ndiyo maana napaheshimu hapa nikijua wapo watu na viatu ila watu wengi kuliko viatu.

Mimi ni kijana fulani hivi wa makamo ila nina mambo ya kizee, si unaonaga hata nyimbo zangu nazosikilizaga. nina mvi za kimaskini na kakitambi ambako kila siku najitahidi kukaondoa kwa kupiga shots za whiskey na bia. oh, karibu Mtwara, ila kwa sasa nipo Lindi kwa muda

Baby-Ninja.gif
 
Hahahahahaha kuku na maharage na nini kingine

..tatizo anko wangu wewe hata ukivibeba havifiki. unakumbuka uliwahi kuhonga kuku wa kienyeji uliyemnunulia aunt yangu? Kuku hakufika wallah ukaishia kutuma picha tu.

Nina hakika aunt yangu hata akikuagiza toothpick utahonga tu, mambo ya ukoo tunajuana anko, Mungu anakuona lakini
 
..ha hahhahaha, JF kokoro hili, tunajuana na wengine ni marafiki ambao hatujakutana. Yupo mdau mmoja tulikuwa hadi tunatembeleana ofisini, tulikuwa marafiki wazuri na yupo mrembo mwingine yuko sekta ya afya alikuwa ananisaidia sana aisee na ndiyo maana napaheshimu hapa nikijua wapo watu na viatu ila watu wengi kuliko viatu.

Mimi ni kijana fulani hivi wa makamo ila nina mambo ya kizee, si unaonaga hata nyimbo zangu nazosikilizaga. nina mvi za kimaskini na kakitambi ambako kila siku najitahidi kukaondoa kwa kupiga shots za whiskey na bia. oh, karibu Mtwara, ila kwa sasa nipo Lindi kwa muda

Baby-Ninja.gif

Binamu ndio mana huwa nasema sikuelewi

Yaan huwa natamanigi sana kukujua

Korosho zangu ndio hutaki kuniletea ndio basi tena
 

Binamu ndio mana huwa nasema sikuelewi

Yaan huwa natamanigi sana kukujua

Korosho zangu ndio hutaki kuniletea ndio basi tena

...korosho uongo dhambi na krismasi imekaribia, nilimpatia anko wangu Lyon Lee azilete alikuja kutembea huku Lindi alikuwa anaenda Songea , alisema alifikisha lakini alisema kwa ukali sana nilipomuuliza kama kakufikishia, nikajua tu tayari mtu kaliwa kwa korosho zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom