Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Hahahahah kweliii make kesho saa sita tuko wote kwenye joto kuku kubal ntakipata kweli?Na samaki jamani hivi kama unaondoka kesho hivyo vitu nitavipata kweli acha kunijaza basi
Hahahahah kweliii make kesho saa sita tuko wote kwenye joto kuku kubal ntakipata kweli?Na samaki jamani hivi kama unaondoka kesho hivyo vitu nitavipata kweli acha kunijaza basi
Si nikapelekwa form one seminari flani Tabora bana!.. Hapo nishasikia Seminary kuwa padre nje nje, mbona nilifukuzwa ile shule!. Ratiba za kuamshana saa 12 kusali na masharti yao ni magumu kwa kweli!.Hahhahahah mapadri walijua wamepata kijana wao
😂😂😂Hahahahaha
We nae kiben10![]()
Hahahahah kweliii make kesho saa sita tuko wote kwenye joto kuku kubal ntakipata kweli?
HahahahhahaSi nikapelekwa form one seminari flani Tabora bana!.. Hapo nishasikia Seminary kuwa padre nje nje, mbona nilifukuzwa ile shule!. Ratiba za kuamshana saa 12 kusali na masharti yao ni magumu kwa kweli!.
Basi miaka ya 2008-2012 hivi nikasikiaga Charismatic imepigwa marufuku, eti nilifurahi maana bimkubwa ndio zilikuwa zinampa kiburi akirudi home anakuta watoto wake wapo tu wakati wa wenzie anakutana nao huko kuomba!..
Shetani huyu acha tu!.
Nahis salaam itatoshaaa kabisa make beg lishajaaSijaelewa ujue kwahiyo naletewa nn

Nahis salaam itatoshaaa kabisa make beg lishajaa![]()
![]()
![]()
![]()
Hizo zitaletwaa na ndugu yake binamu ubungoMfyuuuuu
Kwahiyo ulivyoniuliza ulikuwa unanitega
Hizo zitaletwaa na ndugu yake binamu ubungo
Masister kule ndani wangenikoma kwakweli!..Hahahahhaha
Nawaza tu sasa hivi ungekuwa bikra wa kiume




Masister kule ndani wangenikoma kwakweli!..
Aaahh hapo kwakweli umenishusha!.. anzia 25-33 nipo ndani hapo!.Kweli tena umri wako kama umezidi ni 25![]()
Aaahh hapo kwakweli umenishusha!.. anzia 25-33 nipo ndani hapo!.
Kuna rafiki yangu mmoja alijifanya anajua sana hayo mambo huwa ndio reference yangu nikianza semwa!.![]()
Na ungekuwaje unatongoza wanaokuja kuungama dhambi mana mapadri ndio zao hizo
Kuna rafiki yangu mmoja alijifanya anajua sana hayo mambo huwa ndio reference yangu nikianza semwa!.
Alipomaliza Six alirudi seminary kuanza safari mwaka 1 tu akainua mikono saa hii kaoa na watoto wawili juu!.
Ila kiukweli ni mshamba linapokuja suala la mahusiano!..
Hahahah basi kama kuanzia 25 utakuwa kwenye 27 haujavuka 30 halafu hisia zangu naziamini sana
niweke cheti mezani nini!?.. Ila kwetu hatuzeeki mapema nikisema nipo chini ya 30 hukatai!.
niweke cheti mezani nini!?.. Ila kwetu hatuzeeki mapema nikisema nipo chini ya 30 hukatai!.
ndio tatizo lao sasa wanapokuja mtaani dizaini hii.Mshamba si sababu hajazoea hahaha
ndio tatizo lao sasa wanapokuja mtaani dizaini hii.