Mama mchungaji bwana!!
Wengine wakiona hivyo roho zawaenda mbio, ni kuwaacha tuu wawaze wajuavyoo
Binamu shikamooNikiuliza kama kuna jipya leo jumatatu nitajisumbua tu kupata majibu, ngoja nisubiri kesho kwa sasa ngoja niweke muziki tu. wikend yangu ilikuwa fupi sana, asante kwa kutoniuliza.
Hahaha hahaha hahaha hahahaMama mchungaji mm dada mlokole mm kila mtu ana jina lake kanipa watu wakituona jf tupo hivi hawataamini kaa ndio walokole sisi
Hahaaaa
Bikra my arms![]()
Hahaha hahaha hahaha hahaha
T ujue nitaleft
EwaaaaaSubiri tuleft wote basi .
Muda sio mrefu tunaleftEwaaaaa
Kama hunioti kwa mema, utaniota kwa kutishwa tu hakuna jinsi😀.Nisiwz muongo hii avatar inanitisha
Sawa baba NaaMuda sio mrefu tunaleft
Happyborn Date Transcend
Hongera mdau kwa kuanza mwaka mwingine mpya leo, yes, nilipoingia humu nikasema nikiuliza kama kuna jipya nitapoteza muda kumbe nilikosema maana watu wema huzaliwa siku na tarehe kama ya leo. Hongera nyingi na umepata chaguo la muziki maalamu toka kwa aunt yangu Shunie amededicate wimbo mzuri kwa ajili ya siku yako tarehe hii nzuri na muhimu kwako.
BTW, nimemuona Sakayo kaachia nywele nadhani ni kwa sababu ya tukio na kanikumbusha wiki hii nilibananishwa kuangalia Nappily Ever After, ni comedy/romance movie mtaipenda
Hahaha hahaha hahaha hahaha
T ujue nitaleft
Subiri tuleft wote basi .
Happyborn Date Transcend
Hongera mdau kwa kuanza mwaka mwingine mpya leo, yes, nilipoingia humu nikasema nikiuliza kama kuna jipya nitapoteza muda kumbe nilikosema maana watu wema huzaliwa siku na tarehe kama ya leo. Hongera nyingi na umepata chaguo la muziki maalamu toka kwa aunt yangu Shunie amededicate wimbo mzuri kwa ajili ya siku yako tarehe hii nzuri na muhimu kwako.
BTW, nimemuona Sakayo kaachia nywele nadhani ni kwa sababu ya tukio na kanikumbusha wiki hii nilibananishwa kuangalia Nappily Ever After, ni comedy/romance movie mtaipenda




mfyuuuuuu ebu irudishe ile ya mwanzo nataka nikupe zawadi
Kama hunioti kwa mema, utaniota kwa kutishwa tu hakuna jinsi😀.
Hahaha hahahaAcha kututisha na kuleft bwana
Sema kweliWoyoooooo
Happy birthday once again T
Hapa nimenunua cake nakata kwa niaba yako