Mnaombea tufungweNa kweli sanchez alimbeba![]()
![]()
![]()
Sasa mechi inayofuata tusikie Man- U kafungwa, mtu atuletee ALFULELA ULELA Hekaya za Abunuasi eti Kalimakenge alikataa kwenda Shule ESOPO, hata wakitoa drooo tu, kamata Lukaku fyeka, Pogba fyeka, Sanchez fyekeleaa mbali,
Na hawa kina Lingard sukuma bench, Matial sukumilia na mashabiki woote wanaoshangilia na kuchezaa chikichichiki wakiongozwa na Shunie sukuma ndani, na kama kuna wengine wanabet Man u itafungwa sukuma ndaniiii.....
EenhAgenti wa Zinedine Zidane, 46, kocha wa zamani wa Real Madrid ambaye amehusishwa na Manchester United, amesemahuenda asiiongoze klabu hiyo inayocheza katika ligi kuu ya England. (Marca)
WoyoooooooHabarini za siku nyingi ndugu
Shikamoo jamaniNawasalimia tuu jamani
Mie napita
Woyooooooo
MfyuuuuuShikamoo jamani
Ulikua fungate niniNawasalimia tuu jamani
Mie napita
Ulikua fungate nini
mambo🙂Mm kufanyaje
Salama karibu tena bibieHabarini za siku nyingi ndugu
Poa za wwmambo🙂
Ni poa vipi day yako!?Poa za ww
Iko poa kbsaNi poa vipi day yako!?
AsanteSalama karibu tena bibie
Tulikumiss aki!Asante
Napita tuu jamani