Makapuku Forum

Makapuku Forum

5. Mbwa 'hutabasamu'


Mbwa hutabasamu lakini si kwa sababu ya kama zetu .

Kulingana na mwanasayansi Dr John Bradshaw, mbwa anaweza kutabasamu kumshawiki mmilike wake kumunyesha mapenzi.

Kwa hivyo mbwa hawana furaha kila mara wanapotabasamu.

6. Mbwa wanaweza kuwa na matumaini


Sawa na binadamu mbwa wanaweza nao kuwa na matumaini ya kupata kitu fulani.

Utafiti wa kisayansi iligunduliwa kuwa mbwa fulani huwa wanapenda kuchunguza kitu licha ya kutokuwa na uwezo wa kupata chakula. Hata hivyo mbwa wengine hawakuwa na motisha ya kufanya hivyo.

Inaweza kuonekana kuwa mbwa wengine huwa na matumaini wa kufanikiwa huku wengine huwa hawatarajii lolote
 
7. Mbwa hawajutii

Wamiliki wengine wa mbwa hutambua kile wanafikiri kuwa ni kujutia kwa mbwa lakini sayansi imeonyesha kuwa hilo hutokana na tabia ya mwenye mbwa.

Kujutia ni hali ngumu - mbwa huwa na hofu kuwa huenda akaadhibiwa bila kujua amefanya nini.

8.Hufanya urafiki sana na binadamu.


Mara mwana mbwa anajufunza kuwa wanadamu ni marafiki, hisia zake humwambia kuwa ndio njia tu ya kuweza kuishi na hufanya urafiki wa karibu na binadamu.

Hii ndiyo sababu mbwa wengine hukumbwa na msongo wakati akiachwa peke yao na uhusi kuwa wametelekezwa.
 
9. Mbwa hufanya urafiki usio wa kawaida na binadamu...


Viumbe wengine wanaonyonyesha hupata hisia kama za mapenzi na furaha lakini sasa mbwa wanajulikana kwa kuwa na hisia maalum ambazo huja kulingana na tabia na binadamu.

Wamiliki wengine wa mbwa wanaamini kuwa mbwa wao huwapenda lakini wanasayansi wana ushahidi tabia ya binadamu ndiyo huchangia pia tabia ya mbwa.

10. Ikiwa mbwahakutani na binadamuanaweza kuwa mbwa wa mwitu


Ikiwa mbwa hawezi kukutana na binadamu hadi umri wa miezi mitatu, anaweza kugeuka na kuwa mbwa mwitu.

Mfano mkuu ni mbwa wa anayejulikana kama Australian Dingo, ambaye ni aina fulani wa mbwa wa kufugwa ambaye aligeuka na kuwa mbwa wa msituni miaka elfu nne iliyopita.
 
Wakazi wa mji mmoja wa Marekani wameonywa kutowatilia maanani ndege ambao wanamuonekano wa kulewa, wanaosumbua maeneo kadhaa ya mji.

Polisi katika mji wa kaskazini mwa Minnesota wa Gilbert wamedai kupokea ripoti juu ya ndege hao ambao wanarukaruka kwenye madirisha, magari na kuonekana wamechanganyikiwa.

Hali ya kulevya ya ndege hao na kufanya fujo inaelezwa kunatokana na ulaji wa matunda yaliyostawi mapema kabla ya msimu wa baridi.

Mkuu wa polisi alieleza kuwa ndege wadogo hawana uwezo wa kuhimili kilevi wanachokipata kutoka katika matunda hayo tofauti na ndege wakubwa.
 
Hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moto hauzimiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii moto na uwakeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee uwake motooooo
tapatalk_1534529665683.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom