The Boldly
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 2,377
- 5,150
Agenti wa Zinedine Zidane, 46, kocha wa zamani wa Real Madrid ambaye amehusishwa na Manchester United, amesemahuenda asiiongoze klabu hiyo inayocheza katika ligi kuu ya England. (Marca)
Jmos walishindaAgenti wa Zinedine Zidane, 46, kocha wa zamani wa Real Madrid ambaye amehusishwa na Manchester United, amesemahuenda asiiongoze klabu hiyo inayocheza katika ligi kuu ya England. (Marca)
Hao wanajuana waoPaul Pogba aliisaidia Man Utd kupata ushindi wa kusisimua wa mabao 3-2 wa dhidi ya Newcastle baada ya Jose Mourinho kumshauri kuhusu mbinu za mchezo huo wakati wa muda wa mapumziko. (Sun)
Sarriball itawauwa wengiMshambuliaji Manolo Gabbiadini amekiri kuwa angelitafakari ofa alizopata msimu wa jota laiti angelijua ataendelea kusalia Southampton. Mchezaji huyo alianza kucheza katika ligi ya Premia msimu huu siku ya Jumapili lakini akatolewa uwanjani kabla ya mechi kumalizika. Watakatifu hao wa St Mary's waslishindwa 3-0 na Chelsea.