Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,117
- 1,249,279
SAA 6 MPAKA SAA 7 MCHANA. Ni chakula cha mchana .
kama haupo nyumbani ,kwa sababu watu wengi hasa wafanya kazi wa ofisini huwa hawarudi kwaajili ya chakula cha mchana,huenda kula magengeni ,wengini mahotelini kila mtu na uwezo wake, lakini huko unakoenda kula , lazima uwe na hekima ya kuchagua ni nini utakula sio tu kwa sababu fulani anakula hiki basi unataka kumzidi ili uonekane, huo ni ujinga. tafuta chakula chenye akili , badala ya kula chips kuku soda,wewe kula DONA NA MBOGAMBOGA NA SAMAKI NA MAJI AU JUISI
CHAKULA CHA USIKU NAAMINI UNAPATA NYUMBANI:
Unatakiwa kula nyama ambayo hauna mafuta kabisa , na isiwe nyingi , za kiasi tu na iwe bora,kula nyama hihi pamoja na mbogamboga za kutosha kama vile kabichi iliyochanganywa na karoti hoho na vitunguu ila isiive ,mchicha au spinachi ni vitu vinavyopatikana kwa urahisi .unaweza ukala nya ya kuku badala ya nyama nyekundu.
kama haupo nyumbani ,kwa sababu watu wengi hasa wafanya kazi wa ofisini huwa hawarudi kwaajili ya chakula cha mchana,huenda kula magengeni ,wengini mahotelini kila mtu na uwezo wake, lakini huko unakoenda kula , lazima uwe na hekima ya kuchagua ni nini utakula sio tu kwa sababu fulani anakula hiki basi unataka kumzidi ili uonekane, huo ni ujinga. tafuta chakula chenye akili , badala ya kula chips kuku soda,wewe kula DONA NA MBOGAMBOGA NA SAMAKI NA MAJI AU JUISI
CHAKULA CHA USIKU NAAMINI UNAPATA NYUMBANI:
Unatakiwa kula nyama ambayo hauna mafuta kabisa , na isiwe nyingi , za kiasi tu na iwe bora,kula nyama hihi pamoja na mbogamboga za kutosha kama vile kabichi iliyochanganywa na karoti hoho na vitunguu ila isiive ,mchicha au spinachi ni vitu vinavyopatikana kwa urahisi .unaweza ukala nya ya kuku badala ya nyama nyekundu.