Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20181008-084201.jpeg
 
Kama umewahi kusikia neno water proof, utaelewa vizuru ninachotaka kukupa hapa, Kuna watu hata hawafanyi mazoezi ili wapungue mwili , wao wakovizuri siku zote hawapati magonjwa ya kisukari ,moyo kuumwa miguu, mara kuumwa figo na hata kuwa wanyonge nyonge. watu hawa hutumia njia ya baiolojia katika kuishi kwao.

WANA ADABU KATIKA KULA KWAO,HUFUATA TARATIBU ZA ULAJI.

Kula chakula sahihi ni Ufunguo.kama unataka kuuweka sawa mwili wako ndani na nje,hakikisha unakula vyakula vya asili vya mimea, acha kula sukari,acha kufakamia chips. ukitaka kuishi bila ya kuugua mara kwa mara fuatilia ulaji bora na sahihi ,na wakati sahihi ,tena ukiwa na njaa tu. . tuangalie ulaji wetu kwa siku,;



SAA 12 ASUBUHI : Kifungua kinywa chako kiwe ni kahawa ya maziwa nzito ,tena kahawa iwe ni ile yenye virutubisho, si unaelewa kuna kahawa mbalimbali, basi tumia kahawa bora na maziwa ,ukiweza kama una mbuzi kamua mbuzi tumia maziwa yake na kahawa,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom