Makapuku Forum

Makapuku Forum

Jeshi la Uganda limezindua nembo mpya ya kondomu zitakazotumiwa na wanajeshi nchini humo.

Kondomu hizo zinaitwa Ulinzi, na zitasaidia kupunguza kuenea kwa Virusi vya UKIMWI.

Pakiti za kondomu hizo zimeandikwa, 'Usiende Nyama kwa Nyama' zikiwahamasisha wanajeshi kutumia kinga.
Screenshot_20181005-185045.jpeg
 
Habari ya asubuhi wapendwa,naamini mmeamka salama wote

Poleni wagongwa

Wasafiri muende na kurudi salama

Wafiwa Mungu awatie nguvu

Wengine mapumziko mema,wengine kazi njema
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom