Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,117
- 1,249,280
YAJUE HAYA KUMI KABLA YA KUSAFIRI AU UNAPOKUWA NJE YA NCHI KWA AJILI YA MASOMO/KAZI/KUISHI NK.
1.Jitahidi uwe na mizigo michache iwezekanavyo, usibebe nguo nyingi! Kumbuka hutavaa nguo hizo zote. Kuwa na begi linalobebeka na ukiliwekea label itakua nzuri zaidi.
2. Jifunze maneno machache ya lugha ya nchi unayotembelea (kumbuka sio kila nchi wanajua kiingereza) maneno ya Muhimu ni kama salamu, msaada, ndio, hapana nk.
3. Kwenye suala la mawasiliano, tumia app kama whatsapp na viber. Hizi ni rahisi kutumia, na utawasiliana na watu wote (nyumbani na ugenini)
4.hifadhi majina yako Muhimu, anuani, na namba za simu kwenye “google docs” hii itakusaidia hata ukipoteza simu, mkoba nk.
5.Jifunze mfumo wa pesa wa nchi unayokwenda kwa haraka kuepuka kuhangaika unapotaka kufanya manunuzi
1.Jitahidi uwe na mizigo michache iwezekanavyo, usibebe nguo nyingi! Kumbuka hutavaa nguo hizo zote. Kuwa na begi linalobebeka na ukiliwekea label itakua nzuri zaidi.
2. Jifunze maneno machache ya lugha ya nchi unayotembelea (kumbuka sio kila nchi wanajua kiingereza) maneno ya Muhimu ni kama salamu, msaada, ndio, hapana nk.
3. Kwenye suala la mawasiliano, tumia app kama whatsapp na viber. Hizi ni rahisi kutumia, na utawasiliana na watu wote (nyumbani na ugenini)
4.hifadhi majina yako Muhimu, anuani, na namba za simu kwenye “google docs” hii itakusaidia hata ukipoteza simu, mkoba nk.
5.Jifunze mfumo wa pesa wa nchi unayokwenda kwa haraka kuepuka kuhangaika unapotaka kufanya manunuzi
