Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
NakutaniaaMpe hongera zake sana jamani kuoa ni jambo jema
NakutaniaaMpe hongera zake sana jamani kuoa ni jambo jema
Nakutaniaa
Habari.......
Mwanaume ukose vya kuhamasisha ndo ujifananishe?Wafanyakazi wa kampuni ya kuuza betri za gari nchini Kenya wamezua mjadala mkali mitandaoni baada ya kuvalia kama wanawake kazini kama sehemu ya kuhamasisha jamii kuhusu masuala ya kiafya ya wanawake, na zaidi saratani.
Oktoba ni mwezi wa hamasa kuhusu saratani ya matiti.View attachment 887665
Najiuliza tu hiyo kampuni haina wafanyakazi wa kikeMwanaume ukose vya kuhamasisha ndo ujifananishe?
Zambi sana
Shunie hujambo mama?mzima weye?Eiiish
Mzima mimi kapwil hofu kwako tuShunie hujambo mama?mzima weye?
Uko vizuri bosi wangu kutuhabarisha.Leo Oktoba 5 ni maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Walimu.
Siku hii ilianzishwa mwaka 1994 kwa lengo la kutambua mchango wa walimu na kushughulikia kero zinazowakabili.
Kauli mbiu ya mwaka huu ni, "Haki ya elimu ina maanisha haki ya kuwa na mwalimu
View attachment 887673
Wanaturudisha zama za machukizo hawa.Najiuliza tu hiyo kampuni haina wafanyakazi wa kike