Niko na anko hapa eti anawasiwasii na kazi za asili za usiku .. anko bwana eti unageukaa kama gogo
3.Nyumbani Kwako kutakuwa kijalala Kidogo
Watoto wanapenda michezo mingi sana! Usitegemee kukuta sebule yako ni safi muda wote kama ulivyozoea, usifikirie kwamba atavijali vitu vyako kama unavyojali wewe.
4. Simu/ Computer yako itakuwa ya mwanao.
Licha ya juhudi zote jua ya kwamba watoto watagusa simu, au computer yako tu! Watapenda kuwa na wewe, kufanya kazi kama wewe, na kutumia vitu vyako. Hakikisha vitu vilivyo kwenye simu, au computer yako vinamfaa, na hakuna ubaya akiona.
5.Utaanza Kujiona na kuona Makosa uliyoyafanya ukiwa mdogo, utaijua thamani yako na ya wazazi wako ambao pengine hawatakuwepio.
6.Hutaweza tena Kutumia fedha kwa ajili yako mwenyewe kwani utaona kila fedha unayotumia, ungeweza kutumia na familia nzima. Na utajisikia raha zaidi kumnunulia mwanao kitu zaidi ya kujinunulia wewe mwenyewe.
Ukitaja korosho unajua tu unavyonichanganya
Ndo shayo huyoMtumishi wa Mungu karibu Sana, shayo Leo kanipigia kitu matata sanaView attachment 886869View attachment 886871
Kwa shayo kimara suca?Niko kwa Shayo kuna aliye karibu apite hapa,nimtoe uchovu na moja baridi,moja moto?
Binamu Obe panakuhusu hapa
Kashajichafuaaa boxerNdiwoooo kwenye ndoto
Anko binamu...ngoja zikauke, nizibangue, nikuletee na vocha (stakabadhi ghalani) ufaide maana wewe ni bahati mbaya sana uko ndugu yangu
Shunie unahangaika korosho nitakuletea.
MweeeeAnko kampangishiaa apartment
Hongera mkuuNilikuwa natekenyaaa
Atazipata tu bosi hakuna sida hata kwa nji a ya posta.naona ana hamu na korosho mpaka huruma.afadhari mkuu
,,,na tena anakaa kwa raha sana, kuna apartment moja kule Ngudu kodi ni elfu 27 mia tano kwa mwezi. na ukipanda lazima kama ni mwanamke uwe umevaa kyupiAnko kampangishiaa apartment
Ww wasema gogo limesingiziwa kitu nikilala mpaka nigeuzwe na huu ubonge sasa nafwaa