Makapuku Forum

Makapuku Forum

Siku zote unapomsaidia mtu usitake arudi akushukuru.ukiwa na dhamira hiyo msaada wako utakuwa kama deni.na utakuwa unateseka sana moyoni msaidie mtu kisha potezea.

...msaada wowote usidanganyike kuwa hauna tarajio fulani, hakuna chai ya bure,
 
TUOMBE:Mungu wetu tuna kila sababu ya kushukuru kutuamsha salama leo Jumatano tarehe 3 Octoba 2018..wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawajaweza.Tunaomba toba kwa makosa yote tuliyotenda kwa mawazo maneno na matendo uturehemu twakusihi.Tunakabidhi ratiba zetu ..tunakabidhi familia zetu kaa nasi Baba.ponya wagonjwa,waliovunjika mioyo wafariji wafiwa ,wajane wagane na yatima wape tumaini.Tunaomba walinde watoto wetu na wajukuu wetu waepushe na pepo baya na wimbi la kuibiwa tunawafunika kwa damu takatifu ya Kristo nazifunga roho zote za giza.
Tunaomba walinde wasafiri wote majini ,nchi kavu,angani waende na kurudi salama ..tunaomba Amani na umoja katika Nchi yetu.
Roho Mtakatifu kaa nasi tufundishe na tuongoze katika kila hatua..Asante Baba maana wewe ni mwema utatenda sawa na mapenzi yako Amen...

JUMATANO NJEMA YA AMANI DAMU TAKATIFU YA KRISTO YESU ITUFUNIKE
 
TUOMBE:Mungu wetu tuna kila sababu ya kushukuru kutuamsha salama leo Jumatano tarehe 3 Octoba 2018..wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawajaweza.Tunaomba toba kwa makosa yote tuliyotenda kwa mawazo maneno na matendo uturehemu twakusihi.Tunakabidhi ratiba zetu ..tunakabidhi familia zetu kaa nasi Baba.ponya wagonjwa,waliovunjika mioyo wafariji wafiwa ,wajane wagane na yatima wape tumaini.Tunaomba walinde watoto wetu na wajukuu wetu waepushe na pepo baya na wimbi la kuibiwa tunawafunika kwa damu takatifu ya Kristo nazifunga roho zote za giza.
Tunaomba walinde wasafiri wote majini ,nchi kavu,angani waende na kurudi salama ..tunaomba Amani na umoja katika Nchi yetu.
Roho Mtakatifu kaa nasi tufundishe na tuongoze katika kila hatua..Asante Baba maana wewe ni mwema utatenda sawa na mapenzi yako Amen...

JUMATANO NJEMA YA AMANI DAMU TAKATIFU YA KRISTO YESU ITUFUNIKE
Ameeeeeeeen
 
YAFAHAMU MAAJABU MATANO KATIKA MWILI WA BINADAMU

Nywele nyekundu
Watu wenye nywele nyekundu duniani (watu weupe, Wazungu) ni wachache sana,wako chini ya asilimia mbili. Hivyo wana haki ya kufurahi na kujivuna.

Jicho linaloona rangi nyingi zaidi
Watu wengi wana uwezo wa kuona rangi zipatazo milioni moja, japokuwa watu wenye upofu wa rangi huona rangi zipatazo 100,000 tu. Kinyume chake, wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuona rangi (tetrachromacy) wanaweza kubaini rangi zipatazo milioni 99!
 
YAFAHAMU MAAJABU MATANO KATIKA MWILI WA BINADAMU

Nywele nyekundu
Watu wenye nywele nyekundu duniani (watu weupe, Wazungu) ni wachache sana,wako chini ya asilimia mbili. Hivyo wana haki ya kufurahi na kujivuna.

Jicho linaloona rangi nyingi zaidi
Watu wengi wana uwezo wa kuona rangi zipatazo milioni moja, japokuwa watu wenye upofu wa rangi huona rangi zipatazo 100,000 tu. Kinyume chake, wenye uwezo mkubwa zaidi wa kuona rangi (tetrachromacy) wanaweza kubaini rangi zipatazo milioni 99!
Hizo rangiiii mbona hatariii....
 
Nywele nyeupe
Pamoja na watoto wengi (weupe au wa Kizungu) kuzaliwa na nywele nyeupe, wengi wao nywele hizo hubadilika na kuwa nyeusi wanapokua. Hivyo watu wazima wenye nywele nyeupe ni kati ya asilimia 2 na 16% tu.

Macho ya bluu
Ni asilimia 8 tu ya wanadamu wana macho ya blue. Hali hii inayosababishwa na vinasaba hivi sasa imejitokeza zaidi. Inakadiriwa kwamba binadamu wa kwanza wenye macho ya bluu waliibuka kati ya miaka 6,000 na 10,000 iliyopita.

Macho yenye rangi mbili
Hii husababishwa na ukosefu wa rangi (melanin) katika jicho moja kulifanya lilingane na jingine. Kadiri ya watu sita miongoni mwa 1,000 huzaliwa na kasoro hiyo. Mwigizaji wa kike wa Marekani, Mila Kunis, na mwimbaji Mwingereza, hayati David Bowie, ni mifano ya kasoro hiyo.
 
Amen
TUOMBE:Mungu wetu tuna kila sababu ya kushukuru kutuamsha salama leo Jumatano tarehe 3 Octoba 2018..wako wengi walitamani kuiona siku ya leo hawajaweza.Tunaomba toba kwa makosa yote tuliyotenda kwa mawazo maneno na matendo uturehemu twakusihi.Tunakabidhi ratiba zetu ..tunakabidhi familia zetu kaa nasi Baba.ponya wagonjwa,waliovunjika mioyo wafariji wafiwa ,wajane wagane na yatima wape tumaini.Tunaomba walinde watoto wetu na wajukuu wetu waepushe na pepo baya na wimbi la kuibiwa tunawafunika kwa damu takatifu ya Kristo nazifunga roho zote za giza.
Tunaomba walinde wasafiri wote majini ,nchi kavu,angani waende na kurudi salama ..tunaomba Amani na umoja katika Nchi yetu.
Roho Mtakatifu kaa nasi tufundishe na tuongoze katika kila hatua..Asante Baba maana wewe ni mwema utatenda sawa na mapenzi yako Amen...

JUMATANO NJEMA YA AMANI DAMU TAKATIFU YA KRISTO YESU ITUFUNIKE
 
Awali ya yote ni vyema kutambua ni tango lipi linafaaa kwa kula?

Tango linalofaa kwa kula ni tango lenye rangi ya kijani iliyokolea na lisilo tepeta, tango la aina hii ni zuri zaidi.

FAIDA ZA TANGO.

Tango husaidia kuupatia mwili maji. Sehemu kubwa ya tunda hili ni maji hivyo basi husaidia kurejesha maji mwilini.
Kupunguza sumu mwilini. Kutokana upatikanaji wa maji mengi kwenye tunda hili hvo basi ni rahisi kwa maji haya kusaidia zoezi la kuondosha taka mwilini.
Chanzo cha vitamin B.
 
Madini ya silca yapatikananayo kwenye tango husaidia kucha na nywele kung`aa pia kuna madini ya silcon na sulfur kwenye tunda hili madini haya husaidia kuondoa uvimbe kwenye ngozi hivyo basi huweza kutumika kama urembo au kwa matunzo ya ngozi.
Huondoa harufu mbaya mdomoni, tafiti mbalimbali zinaonesha kuwa tatizo hili hutibika kabisa kwa kutumia tunda hili. Chukua kipande cha tango kisha kibane kwenye pembe ya kinywa chako kwa muda wa dakika 2 hadi 3 hivi. hii itasaidia kuua bakteria wasabaishao harufu mbaya mdomoni kwani tango lina pythochemicals zenye uwezo wa kuua bakteria hao.

Tango husaidia kupunguza kiasi cha URIC ACID mwilini hvyo kuliacha figo katika hali yake ya kawaida.
Tango hupunguza tatizo la kisukari kwani na kurekebisha shinikizo la damu. Hii ni kwa sababu, tango lina madini ya potasium na magnesium ambayo ni hutaji kubwa la moyo ili ufanye kazi ipasavyo
Kupambana na kansa ya shingo ya kizazi, kansa ya titi, tezi dume na nyingine nyingi. tafiti zinadhihirisha kua tango linauwezo wa kufanya yote haya kutokana na uwepo wa viini lishe kama lariciresinol, pinoresinol na secoisalariciresinol.
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Je, umekua ukisumbuliwa na tatizo la Hang Over? tango ni suluhisho la tatizo hili kula vipande kadhaa kabla ya kulala na utaamka ukiwa safi kabisa bila kusumbuliwa na kichwa tena.
Husaidia kuimarisha kinga ya mwili, zaidi ya hapo pia matango ya vitamin A,B na C
Kupunguza uzito. Tango lina maji kwa wingi hivyo ni moja kati ya vyakula vyenye low calories ambavyo husaidia kupunguza uzito wa mwili.
Kuimarisha mfumo wa mneng’enyo wa chakula. hii ni kutokana na uwepo wa fibres pamoja na maji mengi kwenye tango hivyo basi husaidia kuondoa tatizo la kupata choo kigumu.

Kutokana na kuwepo kwa maji mengi pamoja na virutubisho mbalimbali kwenye tango, tunda hili husaidia kupunguza homa pale inapokuwa imepanda.
Afya ya viungo. Tango husaidia kupunguza tatizo la ugonjwa wa viungo *gout* na ugonjwa wa baridi yabisi Arthritis. Tango ni moja kati ya matunda yenye kiwango cha juu cha silica ambayo pia kusaidia kuimarisha afya ya viungo mwilini. Vitamin A, B1, B6, C & D, Folate, Calcium, Magnesium na potassium hufanya tango linapochanganywa na juice ya karoti huweza kutibu gout pamoja na Arthritis.
Pia unaweza kutengeneza juisi ya mchanganyiko wa tango karoti pamoja na spinachi
 
Nywele nyeupe
Pamoja na watoto wengi (weupe au wa Kizungu) kuzaliwa na nywele nyeupe, wengi wao nywele hizo hubadilika na kuwa nyeusi wanapokua. Hivyo watu wazima wenye nywele nyeupe ni kati ya asilimia 2 na 16% tu.

Macho ya bluu
Ni asilimia 8 tu ya wanadamu wana macho ya blue. Hali hii inayosababishwa na vinasaba hivi sasa imejitokeza zaidi. Inakadiriwa kwamba binadamu wa kwanza wenye macho ya bluu waliibuka kati ya miaka 6,000 na 10,000 iliyopita.

Macho yenye rangi mbili
Hii husababishwa na ukosefu wa rangi (melanin) katika jicho moja kulifanya lilingane na jingine. Kadiri ya watu sita miongoni mwa 1,000 huzaliwa na kasoro hiyo. Mwigizaji wa kike wa Marekani, Mila Kunis, na mwimbaji Mwingereza, hayati David Bowie, ni mifano ya kasoro hiyo.
Siku za Ijumaa macho yangu yana rangi kama 4 hivi, ukiyaangalia utasema unahangalia chai ya hudhurungi iliyochachushwa kwa sukari guru.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom