Mm sijambo.wanasemaje huko uliko
Asubuhi njema Makapuku, nimekuona Tumosa asante binamu,nimekuona The Book , basi tuwasubiri wadau wa ma-news aunt yangu Shunie , na Numbisa , SHIMBA YA BUYENZE , Lyon Lee na bila kusahau hawa wafuatao nawashtaki kwa RC Tabora Da'Vinci , omarion5 , Slim5 , Mndali ndanyelakakomu , Mkushi Da Gama , dingimtoto , ABJ , Thad na wewe unayenisoma hapa
3.Tafuta msaada mahali.
Kama wewe ni mtoaji na ni mtu unayewapenda watu na kuwajali, tafuta sehemu , kama kutembelea Yatima, Wajane, Wazee na wafungwa , kaonyeshe huo upendo , kujali kwako wengine. Au watu ambao wanakubali upendo wako. Fanya hicho kitu ni kizuri kwako. Hudhuria semina mbalimbali, watu wanaofundisha kitu unachokipenda kukifanya maishani mwako. Kumbatia moyo wako. Linda moyo wako, maana huko ndiko uzima wako unakotokea. hizi ndio sifa ambazo zitakusaidia kuishi mahali pagumu.
mtoto bado kabisa unalipa wewe!





Nitongoze nikiwa mzima sio usubili nilewe yaan utajiuliza huyu ndio shunie kweli
Na me nilewe unikatae!?, ukifanikiwa nikataa itabidi nikuweke makumbusho!.
Ukilewa utakuwa unajitambua kweli mm nijuavyo masanga yakikolea jeuri yote inaisha bosi


TUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi asante kwa siku ya Jumanne Oktoba 2, 2018 Baba Tunaomba toba kwa makosa yote turehemu twakusihi.
Siku ya leo anza nasi na simamia ratiba zetu zote.Tunaomba ponya wagonjwa,majumbani na mahospitalini,fariji wafiwa wape tumaini yatima wajane na wagane ..tupiganie tuijue kweli yako.Bariki kazi ya mikono yetu inua uchumi wetu Mfalme wa amani.Endelea kuwalinda watoto na wajukuu zetu wasimamie katika masomo yao na maisha yao ya kila siku.Walinde wasafiri nchi kavu,majini na angani waende na kurudi salama.tujalie Amani na umoja katika nchi yetu epusha maafa,ajali za mwili na roho zishindwe katika jina la Yesu Kristo.Tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen
JUMANNE NJEMA NA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE![]()
Swahiba siku ulomsaidia na akarejesha shukrani basi nenda kajichovye mara 9 baharini maana utakuwa una uhusiano na Yesu au IsahAsanteee numbi
Nimejifunza kitu hapa
Mm nina huruma sana yaan nasaidia watu halafu hawana shukrani hawakumbuki
...wadau wote nawapa hiUna moyo kama wangu! Ubarikiwe sanaAsanteee numbi
Nimejifunza kitu hapa
Mm nina huruma sana yaan nasaidia watu halafu hawana shukrani hawakumbuki
Ng'ombe hazeeki maini!Nalipajeee toka lini Bibi akalipa niache na ubibi wangu
Kumbe tupo wengi acha tu mkuu huwa najitoa sanaSwahiba siku ulomsaidia na akarejesha shukrani basi nenda kajichovye mara 9 baharini maana utakuwa una uhusiano na Yesu au Isah
Ng'ombe hazeeki maini!
![]()
![]()
![]()
...wadau wote nawapa hi