Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asanteee numbi
Nimejifunza kitu hapa
Mm nina huruma sana yaan nasaidia watu halafu hawana shukrani hawakumbuki
3.Tafuta msaada mahali.

Kama wewe ni mtoaji na ni mtu unayewapenda watu na kuwajali, tafuta sehemu , kama kutembelea Yatima, Wajane, Wazee na wafungwa , kaonyeshe huo upendo , kujali kwako wengine. Au watu ambao wanakubali upendo wako. Fanya hicho kitu ni kizuri kwako. Hudhuria semina mbalimbali, watu wanaofundisha kitu unachokipenda kukifanya maishani mwako. Kumbatia moyo wako. Linda moyo wako, maana huko ndiko uzima wako unakotokea. hizi ndio sifa ambazo zitakusaidia kuishi mahali pagumu.
 
TUOMBE:Mtakatifu Mtakatifu Mtakatifu Bwana Mungu wa Majeshi asante kwa siku ya Jumanne Oktoba 2, 2018 Baba Tunaomba toba kwa makosa yote turehemu twakusihi.
Siku ya leo anza nasi na simamia ratiba zetu zote.Tunaomba ponya wagonjwa,majumbani na mahospitalini,fariji wafiwa wape tumaini yatima wajane na wagane ..tupiganie tuijue kweli yako.Bariki kazi ya mikono yetu inua uchumi wetu Mfalme wa amani.Endelea kuwalinda watoto na wajukuu zetu wasimamie katika masomo yao na maisha yao ya kila siku.Walinde wasafiri nchi kavu,majini na angani waende na kurudi salama.tujalie Amani na umoja katika nchi yetu epusha maafa,ajali za mwili na roho zishindwe katika jina la Yesu Kristo.Tunaomba yote katika jina la Yesu Kristo Amen
JUMANNE NJEMA NA DAMU TAKATIFU YA YESU KRISTO ITUFUNIKE
 
Unapokuwa kwenye mahusiano ya kawaida, Kamwe hutaweza kuongea kuhusu maisha ya baadae.Unakuwa unaepuka mipango yote inayohusu baadae. Unaweza kuwa unafanya kila kitu lakini hutaweza kuongea kuhusu baadae.

Lakini kama upo kwenye serious relationship, Topic yako muda wote itakuwa kuhusu baadae. Utaongea kuhusu mipango yote ya baadae, Aina gani ya nyumba, Watoto wangapi, Marafiki wa aina gani, Harusi itakuwaje, Utaongea jinsi gani mtakavyoweza kukua pamoja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom