Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Kiongozi wa upinzani nchini Zambia Hakainde Hichilema amesema kitendo cha kufukuzwa kwa Profesa wa sheria na mtoa mihadhara maarufu kutoka Kenya, Prof PLO Lumumba kutoka Zambia kutokana na sababu za 'kiusalama ni cha aibu kwa Zambia na wazambia wote”. Prof Lumumba, alikuwa ameratibiwa kutoa hotuba kuhusu ushawishi wa China barani Afrika katika chuo kikuu