Tabia Za watu Waliofanikiwa Katika Mahusiano
1.Wako pamoja kwa sababu sahihi
2.Wana matarajio ya kweli kuhusu mahusiano yao ya kimapenzi
3.Kitu cha muhimu kwao sio mawasiliano bali ni Heshima kwa kila mmoja
4.Wako wazi, huongea kila kitu wazi , hasa yale mambo yanayowaumiza.
5.Mahusiano yenye afya yana husisha watu wawili wenye afya.
6.Hupeana nafasi
7.Wewe na mwenza wako mnakua na kubadilika kwa njia zisizotarajiwa. kumbatia hilo
8.Mnapita katika mazuri na mapigano.
9.Mnapita katika mazuri na magumu lakini mnasameheana.
10.Vitu vidogo vinaongeza vitu vikubwa.
11. Sex matters…a lot.
12.Hutengeneza kanuni za kwao za mahusiano
13.Hujifunza kuyapiga mawimbi .