Mdomo bakuli
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 3,442
- 7,019
Afu hao ndo huwa wa kwanza kwa kukusema vibaya! Sio wa kike sio wa kiumeKumbe tupo wengi acha tu mkuu huwa najitoa sana
Afu hao ndo huwa wa kwanza kwa kukusema vibaya! Sio wa kike sio wa kiumeKumbe tupo wengi acha tu mkuu huwa najitoa sana
Shikamoo, umeongea point sana sana Numbi, hakuna future kwenye temporary ralationship ni kuzugana tuUnapokuwa kwenye mahusiano ya kawaida , Utakuwa unaficha hisia zako. Unacheza na ukweli. unakuwa unaonyesha kujali kidogo sana kuliko uwezo wako, kwa sababu sio mahali pa kudumu. Hautaki kuwa na nguvu kubwa hapo, kwa hio unakuwa unapretend.
Lakini kama upo kwenye mahusiao ya kweli, utaonyesha hisia zako bila ya kuficha .Utamwambia mtu huyo anapokuwa anavutia na kushangaza. Utamwambia unapotaka akukumbatie, akukiss, utamwambia jinsi gani unampenda. Utamfanyia anachostahili. Huwezi kuficha upendo ulionao kwake.
Unapokuwa kwenye mahusiano ya kawaida, unapima kila kitu mtu anapokuwa anafanya , hata kama ni kidogo. Hata kama atatuma ujumbe ambao hujaelewa, utaanza kulalamika, kila kitu unakichukulia tofauti, huna majibu . hata kama utaongea naye huwezi kujisikia vizuri.
Siku haijaisha!Ndio imekuwaje tena leo
Afu hao ndo huwa wa kwanza kwa kukusema vibaya! Sio wa kike sio wa kiume
Usicheze Mbali na "maeneo yk ya kujidai"Ameen
Tubarikiwe sote slim![]()
Washike kuliko ndugu wanafikiKweli kabisa
Sasa hivi nipo na marafiki ambao najua shida zangu ni zao ni wachache lakini tunasaidiana
Shikamoo, umeongea point sana sana Numbi, hakuna future kwenye temporary ralationship ni kuzugana tu
Mweeeh haya ngoja niendelee kugonjeka slim vipi lakini uko poaSiku haijaisha!
Usicheze Mbali na "maeneo yk ya kujidai"
Washike kuliko ndugu wanafiki