Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Hahahha mm ni muhenga ujue unavyoniita Bibi ni mulemule
Hivi ulikua umeshavunja vyungu kipindi kile Nokia wana kaapplication kale ukituma sms za instant messaging ukiisoma tu ukabonyeza back ndo kwisha ushaifuta txt kwa simu!?..