Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mh
4.Ondoa dhamira potofu kwamba huwezi kuishi pasipo kunywa pombe. Kumbuka mwili wako umeumbwa kikamilifu kukabili hali zote za Maisha hivyo usihisi kuwa pombe ndio kichocheo chako kila unapotaka kufanya jambo Fulani.


5.Zingatia mlo kamili, na jifunze kula matunda kwa wingi.

6.Anza kufanya mazoezi na upange ratiba hii muda ambao ulikuwa ukitumia kunywa pombe.

7.Kumbuka mambo mabaya ambayo yalikutokea kutokana na pombe katika maisha yako. Hii itakusaidia kutothubutu tena kunywa pombe.

8.Ongeza unywaji wa maji jenga mazoea ya kunywa angalau glasi tano (5) za maji kwa siku.

9.Jenga mazingira ya kujizawadia kutokana na uamuzi wako mzuri wa kutokunywa pombe.

10.Washirikishe ndugu, jamaa na mrafiki wa karibu kuhusu uamuzi wako wa kuacha pombe na pia usijione mjinga kwa wale watakao kucheka.
 
Asanteeeeee
EPUKA KUTUMIA MANENO HAYA UNAPOMFARIJI MTU ALIYEFIWA

1.Usijali, Utapata mtoto mwingine (unasahau kuwa kila mtu ana nafasi yake duniani)

2.Jifunze kusahau bwana, Mbona umepita muda mrefu toka atutoke

3.Tulimpenda ila Mungu Kampenda zaidi (Hili neno halizoeleki jamani, yaani unahalalisha kuondoka kwake)

4.Shukuru aliishi Maisha Marefu, wengi wanakufa mapema

5. Najua inavyouma, ila usijali utamsahau tu
 
Asante sana numbii
TUMIA MANENO HAYA

1.Pole sana, Nashindwa hata nitumie neno gani ili ujue nilivyoguswa na suala hili zito

2. Hatutomsahau Kamwe/ Pengo lake halitazibika

3.Mpe pole na Kumuahidi utakuwa nae kipindi chote hiki kigumu, akihitaji kitu utakuwepo kwa ajili yake

4.Mkumbatie bila kusema chochote

5.Kaa nae karibu tu na umpe mahitaji Muhimu, kumuomba ale nk.
 
nakojoaaaaaaaaa sababu sanamu la michellin mfyuuuu hata kama kibonge vipi binamu mtanibeba tu
...ha hahahaha, inabidi tulete kile chombo cha kunyanyua mizigo

tenor.gif
 
EPUKA KUTUMIA MANENO HAYA UNAPOMFARIJI MTU ALIYEFIWA

1.Usijali, Utapata mtoto mwingine (unasahau kuwa kila mtu ana nafasi yake duniani)

2.Jifunze kusahau bwana, Mbona umepita muda mrefu toka atutoke

3.Tulimpenda ila Mungu Kampenda zaidi (Hili neno halizoeleki jamani, yaani unahalalisha kuondoka kwake)

4.Shukuru aliishi Maisha Marefu, wengi wanakufa mapema

5. Najua inavyouma, ila usijali utamsahau tu

...basi maneno haya yafaa nini kama unaenda kumfariji mtu mikono mitupu?

angry+wife.gif
 
Na wanajuta waliojichora wakina munalove
YAJUE HAYA KABLA YA KUAMUA KUJICHORA TATTOO (Share Na Wenzako)

1.Hazifutiki milele, swali linakuja je, miaka kadhaa ijayo utaendelea kukipenda kitu ambacho umekipenda leo nakukichora? Mfano, unadhani unakipenda Ulichokuwaukikipenda kufanya miaka 10 iliyopita? Kazi


2.Ili kuweza kuzoea tattoo unashauriwa kuchora tattoo ya muda mfupi kabla hujaamua kuchora tattoo ile itakayobaki milele.


3.Huwezi kuchangia damu katika baadhi ya mataifa. Ni vema kujua sheria za nchi yako kwanza kabla ya kufanya uamuzi huo.



4.Usikurupuke kuchora tattoo, kuwa na wazo la aina ya tattoo ya kitu unachokihitaji sio tu kwa kuwa uliiona kwa mtu Fulani.
5.Huharibu muonekano wako katika jamii kwani kuna badhi ya sehemu unaweza usishirikishwe kwa kuonekana hufai katika jamii ile (hasa jamii za Kifrika)
 
TUMIA MANENO HAYA

1.Pole sana, Nashindwa hata nitumie neno gani ili ujue nilivyoguswa na suala hili zito

2. Hatutomsahau Kamwe/ Pengo lake halitazibika

3.Mpe pole na Kumuahidi utakuwa nae kipindi chote hiki kigumu, akihitaji kitu utakuwepo kwa ajili yake

4.Mkumbatie bila kusema chochote

5.Kaa nae karibu tu na umpe mahitaji Muhimu, kumuomba ale nk.


...anko wangu sasa Lyon Lee tulienda kumfariji mchepuko wake mmoja Yombo Buza aliyosema hata chakula hatukupewa, tuliishia kupewa maji tu tena kwenye vikombe vile wanavyonyweaga uji watoto wa chekechea.
Eti alisema, namnukuu. Pole sana ..nanihii (akataja jina) msiba ulioupata wewe sio wa kwanza kuupata, tena nafurahi mmemzika marehemu kwenye kaburi zuri sana, hizo hela bora hata mngetunza mkaandaa sherehe ya kumuaga marehemu. Oh, usilie sana maana makaburi hayajajaa hata kidogo." mwisho wa kumnukuu mjomba wangu.

Mimi ilibidi nizibe maskio sikuongea kitu hadi tulipochukua uber kurudi makwetu.

Hili somo linamfaa sana anko. Asante sana mdau
 
Uwiii jamani,siwezi na saiv nazifuga nataka zifikie kucha za ben ten wako(ushawahi ziona?) ila sasa kufua adui wa ufugaji wa kucha
Hahhahah
Yaan halafu kingozi nacho unakivuta kabisa unasikia maumivu lakini huachi mpaka unatoka damu
 
...anko wangu sasa Lyon Lee tulienda kumfariji mchepuko wake mmoja Yombo Buza aliyosema hata chakula hatukupewa, tuliishia kupewa maji tu tena kwenye vikombe vile wanavyonyweaga uji watoto wa chekechea.
Eti alisema, namnukuu. Pole sana ..nanihii (akataja jina) msiba ulioupata wewe sio wa kwanza kuupata, tena nafurahi mmemzika marehemu kwenye kaburi zuri sana, hizo hela bora hata mngetunza mkaandaa sherehe ya kumuaga marehemu. Oh, usilie sana maana makaburi hayajajaa hata kidogo." mwisho wa kumnukuu mjomba wangu.

Mimi ilibidi nizibe maskio sikuongea kitu hadi tulipochukua uber kurudi makwetu.

Hili somo linamfaa sana anko. Asante sana mdau
 

...anko wangu sasa Lyon Lee tulienda kumfariji mchepuko wake mmoja Yombo Buza aliyosema hata chakula hatukupewa, tuliishia kupewa maji tu tena kwenye vikombe vile wanavyonyweaga uji watoto wa chekechea.
Eti alisema, namnukuu. Pole sana ..nanihii (akataja jina) msiba ulioupata wewe sio wa kwanza kuupata, tena nafurahi mmemzika marehemu kwenye kaburi zuri sana, hizo hela bora hata mngetunza mkaandaa sherehe ya kumuaga marehemu. Oh, usilie sana maana makaburi hayajajaa hata kidogo." mwisho wa kumnukuu mjomba wangu.

Mimi ilibidi nizibe maskio sikuongea kitu hadi tulipochukua uber kurudi makwetu.

Hili somo linamfaa sana anko. Asante sana mdau
 
Hahhaha sijawahi ziona anakucha ndefu sana mkono wa kushoto nafuga halafu eti kutafuna siwezi kabisa nashindwa kujielewa ila wa kulia ndio nazitafuna mpaka kingozi
Uwiii jamani,siwezi na saiv nazifuga nataka zifikie kucha za ben ten wako(ushawahi ziona?) ila sasa kufua adui wa ufugaji wa kucha
 
Duh wala kucha nawahurumia sana maana mnakula mpaka kufikia ngozi daah

...tena wengine huwa wanaweka hadi na chumvi kuongeza ladha? acha tu mazoea ni addiction ya aina yake. mmoja alikuwa anakula kucha hadi akapata maguugu (ukoma)
200609222025-pix1.jpg
 
Ee picha zimejaa tele kule likes. Ukija kule ukaomba picha utarushiwa fasta.

napita tu nisije suntwa na bae wa uzi wetu
Hahhaha sijawahi ziona anakucha ndefu sana mkono wa kushoto nafuga halafu eti kutafuna siwezi kabisa nashindwa kujielewa ila wa kulia ndio nazitafuna mpaka kingozi
 
Duh aisee mateso hayo
...tena wengine huwa wanaweka hadi na chumvi kuongeza ladha? acha tu mazoea ni addiction ya aina yake. mmoja alikuwa anakula kucha hadi akapata maguugu (ukoma)
200609222025-pix1.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom