Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hapo ndio anapokosea akupe halafu naomba korosho zangu nitumie hata kwenye bus nikazipokee ubungo
...ha hahhaa, nilimwambia anipe hata ile ya polisi, yaani namba yoyote tu. hata ile ya kitambulisho cha mlipakodi
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Hapo ndio anapokosea akupe halafu naomba korosho zangu nitumie hata kwenye bus nikazipokee ubungo

...au ukute ni mzaliwa wa Dar, yaani mlima ule wa UD ndo anaona mrefu sana.

Angekuwa ameshanipa namba saa hizi angekuwa anatembelea kwenye helikoputa kama Mikwara Ya Andunje na kwenye fulaiova pale Tazara anagekuwa na shati jipya la ccm
 
Binamu usinipoteze kuhusu korosho ujue achana mambo ya no zako na abj
...au ukute ni mzaliwa wa Dar, yaani mlima ule wa UD ndo anaona mrefu sana.

Angekuwa ameshanipa namba saa hizi angekuwa anatembelea kwenye helikoputa kama Mikwara Ya Andunje na kwenye fulaiova pale Tazara anagekuwa na shati jipya la ccm
 
Binamu usinipoteze kuhusu korosho ujue achana mambo ya no zako na abj

...korosho unazotaka mbona ndo tunavuna saa hizi, tena nikikuletea safari hii nakuletea na bibo (mabibo) ule utengeneze local wine

korosho%20mti.jpg
 
Lile jukwaa siliwezi mm kutoleana mapovu nje nje kuna siku mtu ghafla tu kaniquote na kuanza kunitukana niljuta kwa nn niliingia nilimjibu weeh badae nikajitokea zangu
Una raha mno,natamani nami linishinde ila sasa kila kukicha pananoga
 
Sitakiii mabibo sili mm nasubiria korosho


...basi hesabu umepata bila kukosa, tena nyingi unaweza kumgaia hata Numbisa kama bado hajafikia ule umri wa kutafuta nye.ge zinaweza kumuongezea madini ya Zinc.
haya ni mambo ya kitaalamu zaidi, si unanijua binamu yako nilivyo.

oh, nimenunua na kitu kingine kizuri juzi tu, ni kipya sema nilikinunua used.
 
nakumbuka mwanzon wakati naanza ingia mule nilipata upinzani mkali eti wewe humu sio fani yako nenda kuleee utadhani wananilipia vocha nikakomaa nao humo humo
Lile jukwaa siliwezi mm kutoleana mapovu nje nje kuna siku mtu ghafla tu kaniquote na kuanza kunitukana niljuta kwa nn niliingia nilimjibu weeh badae nikajitokea zangu
 
TABIA KUMI(10) MBAYA ZA WATU WANAOISHI PEKE YAO NYUMBANI. SOMA UCHEKE

1.Huacha Mapambo, au vitu vilivyotumiaka katika sherehe iliyokuwa miezi kadhaa iliyopita kama sikukuu ya kuzaliwa, mti wa chrismass mapambo ya ukutani ya mwaka mpya nk.

2. Kutumia Miguu kwenye shughuli zinazotakiuwa utumie mikono kama kubonyeza swichi, kusogeza vitu, kufunga mlango nk.

3.Kuacha vyombo vichafu mpaka vinaota utando, au kutumia vyombo vichafu.

4.kutumia meza ya chakula kwa shughuli zingine zote kasoro kulia chakula! Mfano, kuweka nguo, rimoti za tv, vifaa vibovu, au vyombo vichafu nk.

5.Kubadili kitanda kuwa begi la nguo, na vifaa vya kazi, huweka nguo pembeni anapolala, na kuzirudisha kitandani akiamka.
 
6. Hunywa vinywaji moja kwa moja kwenye mdomo wa chupa bila kutumia glass wala vikombe. Na akipika, basi atakula kwa kutumia chombo hiucho hicho alichopikia.

7.Kutopenda kupika na kula mkate au matunda yote yaliyohifadhiwa kwa wakati mmoja. Wakati mwingine hununua vyakula vingi kupita kiasi na kuacha viharibike bila kupiuka wala kuvitumia.

8. Kucheza michezo ya kitoto ndani, na mara nyingi kuwa mchafu kupitiliza.

9.Kutojali kutengeneza vitu vilivyoharibika kwa wakati.

10. Hawapendi wageni wanaokuja bila taarifa kwani wengi wanachojali ni nguo zao tu, kwa kuwa ndizo zitakazoonekana wanapotoka!
 
MUHIMU:FAIDA KUMI ZA KUNYWA MAJI MOTO YENYE LIMAO KILA UNAPOAMKA

1.Huongeza Kinga yako ya mwili hasa kupambana na magonjwa madogo kama mafua, na kikohozi kutokana na kuwa na vitamin C

2. Husafisha Mfumo wako wa chakula, kuondoa sumu mwilini na kuzuia tumbo kujaa gesi mara kwa mara

3. Huleta hewa safi kinywani. Ni Muhimu sana kwa watu wanaonuka midomo

4. Hukuongezea uchangamfu na kufanya siku yako ianze vizuri sana

5. Husaidia majeraha kupona kwa haraka kutokana na kuwa na ascorbic acid ya kutosha. Pia huimarisha mifupa
 
nakumbuka mwanzon wakati naanza ingia mule nilipata upinzani mkali eti wewe humu sio fani yako nenda kuleee utadhani wananilipia vocha nikakomaa nao humo humo

..kwani walijua una fani gani hao mafanani waliotaka kukuzibia kugawa ilmu bure?
Nitaenda kwenye hilo Jukwaa nami nikaangalie
 
6. Husaidia mmeng’enyo wa chakula utakachokula asubuhi au mchana kwa kuondoa vikwazo vyote vinavyoweza kuzuia umeng’enyaji wa chakula.

7. Himarisha Ngozi yako, kuondoa makunyanzi na kukupa muonekano mzuri.

8. Husaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza uzito kwani maji moto ya limao huyeyusha mafuta ya kutosha.

9. Huyapa macho yako afya nzuri na kuimarisha kuona.

10. Huondoa hali ya kuhitaji kahawa kila asubuhi ambayo si nzuri kiafya.
 
...basi hesabu umepata bila kukosa, tena nyingi unaweza kumgaia hata Numbisa kama bado hajafikia ule umri wa kutafuta nye.ge zinaweza kumuongezea madini ya Zinc.
haya ni mambo ya kitaalamu zaidi, si unanijua binamu yako nilivyo.

oh, nimenunua na kitu kingine kizuri juzi tu, ni kipya sema nilikinunua used.
Zikiwa nyingi nitamgaia binamu hiko ulichonunua kitu kizuri used ni nn
 
JE WAJUA UNAUWEZO WA KUKUMBUKA AINA ELFU 50 ZA HARUFU? SOMA MENGINE KUMI YA KUSHANGAZA KUHUSU MWILI WAKO!

1. Mwanaume huzalisha mbegu milioni kumi za uzazi siku! Kwa maana hiyo, anauwezo wa kujaza idadi yote ya dunia kwa miezi sita tu!

2. Mtoto Mchanga ana mifupa 60 zaidi ya mtu mzima

3 Kuna kilomita laki mbili za mishipa ya damu kwenye mwili wa binadamu!

4. Misuli ya taya (mashavuni) Ndio misuli yenye nguvu kuliko misuli mingine yote kwenye mwili wa binadmu!

5.Masikio na Pua huendelea kukua bila kikomo hata binadamu akifikia utu uzima
 
6. Katika maisha yote ya binadamu anauwezo wa kuzalisha mate ya kujaza bwawa la kuogelea!

7.Kila binadamu ana harufu yake ya tofauti kasoro mapacha wa kufanana tu, ndio wana harafu moja!

8. Ukiamka asubuhi unakuwa na sentimita moja zaidi ya urefu kuliko jioni! Kwa sababu,wakati wa ufanyaji wa kazi mbalimbali za siku, viongio vya magotini husinyaa na kukufanya uwe mfupi kwa sentimita moja!

9. Midomo ya binadamu huwa na rangi nyekundu kutokana na kuwa na mishipa mingi sana ya damu eneo hilo!

10. Moyo wa binadamu una nguvu ya kurusha damu/maji hadi mita nne
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom