Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,246
- 90,426
Huu mtaa ,unanipotea potea sijui kwann, mpk niutafute kwa GPS
Shunie anakuharibu mzee baba..Motooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaauuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuziiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiimiiiiiiiiiiiiView attachment 878555

Shikaoo binamuAsante The Book kwa tetesi za soka, na mipango ya kuleta makala za intelligence ifanikiwe mapema. Aunt yangu Shunie long time kwanza, asante kwa Magazeti na je Wajua, siku zote unajua wewe ni mtu mzuri ninayekupenda yaani ingekuwa Numbisa angesema una nyota ya ngekewa, ulimsoma jana?
Mndali ndanyelakakomu ni poa k ukuona hapa tena, ulipotea karibu.
Kuna Jipya? Ukiachana na habari za anko wangu Lyon Lee kutekwa na hausigeli?
Si umeloea kwa wenzio kuleHuu mtaa ,unanipotea potea sijui kwann, mpk niutafute kwa GPS

Wapi huko?, bi@TumosaSi umeloea kwa wenzio kule![]()
![]()
![]()
Haaaaahaaaa aiseeJana tulikuwa na makala ya wanyama, ilikuwa poa sana, farasi kumbe wanabebishana, kiboko anatoa maziwa ya pink etc.
Dj Obe aka mzee wa kusiniAsante The Book kwa tetesi za soka, na mipango ya kuleta makala za intelligence ifanikiwe mapema. Aunt yangu Shunie long time kwanza, asante kwa Magazeti na je Wajua, siku zote unajua wewe ni mtu mzuri ninayekupenda yaani ingekuwa Numbisa angesema una nyota ya ngekewa, ulimsoma jana?
Mndali ndanyelakakomu ni poa k ukuona hapa tena, ulipotea karibu.
Kuna Jipya? Ukiachana na habari za anko wangu Lyon Lee kutekwa na hausigeli?
Duuuuh2. Unaoga maji ya moto
Je unapenda kuoga maji ya moto asubuhi ? Hili ni kosa kwa sababu kuu mbili.
Kwanza, maji ya moto sana si mazuri kwa afya ya ngozi yako - hufanya ngozi kuzeeka mapema.
Pili, utafiti unaonyesha kuwa kuoga maji ya moto kunakufanya ujihisi uchovu na usingizi zaidi. Hivyo unaweza kuhisi kurudi kitandani kuendelea kulala.
Njia mbadala ni kuoga maji ya uvuguvugu. Haya ni maji yanayokupa nguvu kuanza siku. Kama unataka kuoga maji ya moto, basi subiria usiku ili upate kulala vizuri zaidi.
3. Unasahau kunywa maji
Watu wengi wana kasumba ya kunywa kahawa balada ya maji wakishaamka. Pengine ni kasumba kuwa kahawa huwafanya wajisikie vizuri na kuwapa ari ya kufanya kazi zaidi. Lakini si kweli. Maji ndio kitu muhimu zaidi asubuhi maana hukupa nguvu zaidi na kukufanya kuwa na ari ya kufanya kazi zaidi. Badilisha mwenendo, badala ya kahawa, anza na chai. Muhimu zaidi, kama utaweza kunywa maji ya limao, faida zake ni nyingi kama ilivyoelezewa hapa.
4. Unaacha staftahi
Je wewe ni mtu wa kudharau kupata kifungua kinywa kila asubuhi ? Basi jua kuwa hii siyo tabia nzuri. Kifungua kinywa ni muhimu sana mwilini sababu inakata njaa na kuupa mwili nguvu iliyopoteza usiku kucha wakati umelala. Unaweza kuangalia zaidi kwenye makala yetu ya nyuma hapa.