Makapuku Forum

Makapuku Forum

Rais wa Real Madrid Florentino Perez anaamini mshambuliaji wa Ureno Cristiano Ronaldo, 33, siku moja atarudi katika klabu hiyo. Ronaldo alijiunga na Juventus mwezi Julai baada ya miaka tisa huko Bernabeu. (ESPN)
Alipo Ronaldo nipo mm
 
Mmiliki wa Monaco Dmitry Rybolovlev anataka kuiza klabu na kuna ripoti za wanunuzi kutoka Marekani na UAE. (le10sport.com - in French)
 
Fifa ilitumia karibu pauni milioni 9 kwa ndege za kukodisha chini ya miaka mitatu ikiwemo kwenye safari kwenda kutazama jengo la Taj Mahal. (The Independent)
 
Arsene Wenger hana uhakika kuhusu kurejea kwa usimamizi wa kandanda lakini mfaransa huyo mwenye umri wa miaka 68 anasema bado hajastafu baada ya kuonoka Arsenal msimu uliopita. (L'Est Republicain via Evening Standard)
 
Celtic wanakumbwa kifo cha taratibu kwa sababu hawawezi kushindana kifedha na ligi kuu za Ulaya kwa mujibu wa rais wa Juventus Andrea Agnelli. (The Scotsman)
 
Manchester United na Real Madrid wana mipango ya kumsaini kiungo wa kati wa Ajax Mholanzi mwenye miaka 21, Frenkie de Jong, anayewekewa thamani ya pauni milioni 72. (De Telegraaf - in Dutch)
 
Arsenal wanamwinda mchezaji wa Rennes raia wa Senegal mwenye miaka 20 Ismaila Sarr, ambaye pia anatazamwa na Inter Milan.(Mirror)
 
NewCastle watafanya mkutano na meneja Rafael Benitez kuhusu bajeti ya mwezi Januari kujaribu kumwezesha Mhispania huyo kusalia kwenye klabu baada ya mwisho wa msimu. (Telegraph)
 
Asante jamani pm ni private msg sehemu ya msg si kuna kibahasha unakiona au ili niendelee kukuelekeza kwenye kibahasha ukitaka kumtumia mtu msg unabonyeza hapo au kama umetumiwa msg utaona kwenye kibahasha kuna no unaifungua usome na kumjibu mtu
Pm sijui.kwani ni mahela mengi ni hela ya vocha tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom