Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Inawezekana cjui ni new member au alikuwa offline by that timeMimi mzima
Na inawezekana komenti yako hakuielewa pia
Inawezekana cjui ni new member au alikuwa offline by that timeMimi mzima
Na inawezekana komenti yako hakuielewa pia
Lengo langu lilikuwa kumjulisha tuInawezekana cjui ni new member au alikuwa offline by that time
@bosi tumosa mwl.wangu shunie wapiNilimuambia jana huyo
Vp uko mzima
Bosi shunie wapiMiss you
Ameeen
Na kwako pia
Yupo bana,unamuhitaji@bosi tumosa mwl.wangu shunie wapi
Wangese sanaWakongo kwa dharau
![]()
![]()
![]()
![]()
Asante mkuu..Asante Numbisa kwa makala nzuri, nazisoma zote kwa ufasaha timamu kabisa.
Tumosa nipo sana, nilikuwa nalinda wikend kimyakimya. Transcend hiyo pensi kwenye picha nadhani sio mimi, sababu mimi huwa navaa pensi ndiyo ila navaa na Tshirt maana nina kakitambi kalikogoma kutoka kwa mazoezi so nakarutubisha na bia na mchemsho.
Anko Lyon Lee pamoja sana, asante kwa salamu zako nimezipata sawia bila shida na unasalimiwa sana.
Shunie, mtu chake , omarion5 , SHIMBA YA BUYENZE , makaveli10 , dingimtoto , Clkey , ABJ , Da'Vinci , sweetlee , Nyagei , shululu , Wick , Slim5 , The Book na wewe kapuku unayenisoma hapa, ujue nini, ninyi ni wadau wa ukweli na mara zote ni fahari kusoma chochote mnachoshare hapa jukwaani, sharing is caring na hasa life knowledge na siasamaisha kwa ujumla.
Okay, tuyaache haya, Kuna Jipya?
TupoMko wapi leo?![]()
![]()
![]()
Mwambie kaka yake anamsalimia...yupo, sema anaingia kimagutumagutu
Mwambie kaka yake anamsalimia
Mzima shunie
Bosi shunie wapi
Nipo hapa kapwil za ww nimekumiss@bosi tumosa mwl.wangu shunie wapi
Unahamishiwa lini Dom tu ukaifanyie research. Nataka ona kitabu chake from you 🙂
Mko msibani au?