Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,117
- 1,249,276
3. Akiwa ndani ya maji anaweza kutumia dakika tano bila kuibuka ambapo hubana pumzi ndani ya maji anapokwepa hatari ya kushambuliwa na adui yake.
4. Huyu Ngekewa ndio mnyama anayependwa na viumbe vingi vya porini na majumbani.
Wanyama kama mamba, chatu, nyani, paka, kobe na hata ndege wa aina mbali mbali hupenda kukaa karibu naye na kufurahia maisha hivyo mnyama huyu huhesabika kama kiumbe chenye bahati ya kupendwa na viumbe wengine ukiondoa maadui zake.
5. Kwenye kamusi ya lugha ya kiswahili neno Ngekewa mbali na kumzungumza huyu mnyama pia limetafsiliwa kama bahati au yenye bahati na ndio maana hata mtaani mtu mwenye bahati huambiwa ana ngekewa.
Asili ya maana ya neno ngekewa ipo katika kupendwa kwa huyu mnyama na viumbe mbali mbali hata vile vya hatari.
4. Huyu Ngekewa ndio mnyama anayependwa na viumbe vingi vya porini na majumbani.
Wanyama kama mamba, chatu, nyani, paka, kobe na hata ndege wa aina mbali mbali hupenda kukaa karibu naye na kufurahia maisha hivyo mnyama huyu huhesabika kama kiumbe chenye bahati ya kupendwa na viumbe wengine ukiondoa maadui zake.
5. Kwenye kamusi ya lugha ya kiswahili neno Ngekewa mbali na kumzungumza huyu mnyama pia limetafsiliwa kama bahati au yenye bahati na ndio maana hata mtaani mtu mwenye bahati huambiwa ana ngekewa.
Asili ya maana ya neno ngekewa ipo katika kupendwa kwa huyu mnyama na viumbe mbali mbali hata vile vya hatari.
TUOMBE:Baba yetu na Mungu wetu asante kwa ajili ya siku ya leo Jumanne tarehe 25 Septemba 2018 Tunaomba toba kwa kika tulichoenda kinyume na mapenzi yako uturehemu twakusihi.Tusaidie tuweze kutambua namna unavyo tupenda na kutupigania katika kila jambo.Tunakabidhi kazi zetu,watoto wetu,wajukuu wetu,familia zetu,rafiki zetu mikononi mwako endelea kuonekana kwetu Mfalme wa Amani.Tunaomba ponya wagonjwa wote,ponya majeraha yote watie nguvu wanaouguza na waongeze kila panapopungua wasipungukiwe katika kutoa huduma,wafariji wafiwa yatima wajane na wagane endelea kuwapa tumaini.