Hahaha, week end walale SAA hz?Mmelalaa
Nioneee anko wanguHahaha, week end walale SAA hz?
Mm niki Kwa ShayoNioneee anko wangu
Mm niki Kwa Shayo
Ilikuwa kweli hilo kaburi lakini nasikia kuna vijana walilihamisha.
Labda Wick atuelezee mi npo kitulo huku
Shikamoo binamu...nisubiri hapo, tunapita kuonja kidogo
View attachment 874942
sayansi ilinyoosha mikono mbele ya huu ukoo!.. Ukiangalia picha hii unaona nguzo zimehama upande then mbele zinarudi upande wake kuendeleza safari
View attachment 874944
Ila kuna vijana naona walilihamisha kwa 1.5M.. Kila mbabe na mbabe wake!
View attachment 874945
NB:
Kituko kingine kipo Dom, ukiwa unaelekea Mipango ukifika pale Wajenzi kuna njia flani kushoto ya vumbi ukienda nayo mbele unakuta imeidivert nyumba ya tope(nyumba ya tope ipo katikati ya barabara).
Nilisikia mmiliki kikongwe flani hakutaka hamishwa ili ipite barabara wakatumia nguvu, matokeo yake nyumba haitoki na ujenzi ukasimama!.. ndio ile njia ya vumbi ambayo ukinyooka nayo unakutana na lami kuelekea chang'ombe!. (wajuzi watakuja).
AmeeenMuwe na jumapili njema,nawatakia ibada njema
Shikamoooo....Muwe na jumapili njema,nawatakia ibada njema
Ameeen
Na kwako pia
NmekuzaaaShikamoooo....
WametekwaNyieeee pipoooooziii