Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
I mean umemeEiiish kutoka wapi tena jamani
I mean umemeEiiish kutoka wapi tena jamani
I mean umeme
Sio hiko bwana
Hadi wakuniogesha ajeOoh kaoge sasa mkuu uangalie tv
Eiiish nilimwambia mbebez nanyoa kipara ananiambia nisinyoe kipara ninyoe low cut maswali sitaki

Hadi wakuniogesha aje
Ndio maana sina vumbiAsipokuja je utalala hivyohivyo
Usiwaze bhanaa! Take it easy..T ujue unanipa mawazo hujui tu dada nikianza kumwambia habari za mawazo kuhusu ww anacheka sana hivi umenijuaje jamani kwahiyo unanichora tu humu na vituko vyangu vya jf
Aiseeee! Watu wananifahamu siwezi hata kwenda mimiUtakapojitokeza T wa kapuku![]()
![]()
![]()
![]()




Usiwaze bhanaa! Take it easy..
Mimi si binadamu mwenzako! Sio dhambi kukufahamu bhana..!
Aiseeee! Watu wananifahamu siwezi hata kwenda mimi![]()
Hebu muulize dada..Kweli sio dhambi T jamani mm sikujui sasa
Tatizo sio ID shunie wangu!Huwezi kutaja I'd yako asikutishe huyo











! 

Hebu muulize dada..
Anajua kila kituuuuuu! She will tell you

tudokeze shosti na sie tupate tabasamunimekumbuka kitu jana kuhusu swala la kunyoa
Tatizo sio ID shunie wangu!
Tatizo mimi ni nani? Huku na huku unakuta ni Dj skills wa Clouds Fm!
Utasikia na wewe upo jf?
Mbona December haifiki![]()