Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahhaah unacheka nn
Halafu una kesi na mm ujue
Juzi kati dada ananiambia nilisahau kukwambia kuna siku nachat na T akasema nikusalimie nataka jina lako halisi hivi kakujuaje eti T umenijuaje mm jamani
! Usiniulize kwanini nacheka nikifikiria hiyo siku
 
Hahhaah unacheka nn
Halafu una kesi na mm ujue
Juzi kati dada ananiambia nilisahau kukwambia kuna siku nachat na T akasema nikusalimie nataka jina lako halisi hivi kakujuaje eti T umenijuaje mm jamani
Imeuliza maswali mengi sana!

Unataka kujua jina langu halisi? Ama dada anauliza nilijuaje jina lako halisi?

Which is which?
 
Mm na dada alivyoniambia hivyo nikasema nitakuuliza umejuaje jina langu halisi na hapo kaniambia ni mwaka jana tu kabla haujatuma juzi kati tigo pesa
Imeuliza maswali mengi sana!

Unataka kujua jina langu halisi? Ama dada anauliza nilijuaje jina lako halisi?

Which is which?
 
Mm na dada alivyoniambia hivyo nikasema nitakuuliza umejuaje jina langu halisi na hapo kaniambia ni mwaka jana tu kabla haujatuma juzi kati tigo pesa
Shunie..!

Hebu tuyaaache bhana!

Ujue mimi nakuambia siku hiyo na kinondoni nitacheka ! Wewe bado huelewi .

Naona kabisa nyoka waking'atana vichwa.
 
T ujue unanipa mawazo hujui tu dada nikianza kumwambia habari za mawazo kuhusu ww anacheka sana hivi umenijuaje jamani kwahiyo unanichora tu humu na vituko vyangu vya jf
Shunie..!

Hebu tuyaaache bhana!

Ujue mimi nakuambia siku hiyo na kinondoni nitacheka ! Wewe bado huelewi .

Naona kabisa nyoka waking'atana vichwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom