Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,287
Kucha: Unashauriwa kuchenga kucha zako za miguu vyema ili kuzuia majeraha ambayo yaweza tokana na mkwaruzo wa kucha ndefu. Chenga kucha zako kwa mwendo usiojipinda.
·Mafuta: Paka krimu au losheni kisha uvalie soksi kabla ya kulala ili kuhakikisha kuwa sehemu hii inasalia nyepesi.
·Mafuta: Paka krimu au losheni kisha uvalie soksi kabla ya kulala ili kuhakikisha kuwa sehemu hii inasalia nyepesi.
