Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,284
Dawa za kutibu minyoo ni dawa ambazo watu wengi mtaani wanazitumia bila hata ya kutafuta ushauri wa kitaalam. Watu wengi wakiona mtoto au mtu mzima anakula sana moja kwa moja hufikiria sababu itakuwa ni minyoo.
Mtu akiona anaumwa njaa sana siku hizi hufikiria tatizo litakuwa minyoo. Leo ningependa tufahamu matumizi sahii ya dawa hizi. Albendazole ni dawa inayotumika kutibu watu na wanyama wanaosumbuliwa na ugonjwa wa minyoo.
Albendazole ikitumika vizuri kama inavyotakiwa huua kabisa vimelea vyote (sensitive parasites). Usitumie Albendazole kama una aleji (allergy) na kiambato chochote kilichopo kwenye albendazole au benzimidazole (mfano, Rabeprazole). Wasiliana na wataalam wako wa afya kama chochote kati ya hivyo viwili hapo juu kinakuhusu.
Mtu akiona anaumwa njaa sana siku hizi hufikiria tatizo litakuwa minyoo. Leo ningependa tufahamu matumizi sahii ya dawa hizi. Albendazole ni dawa inayotumika kutibu watu na wanyama wanaosumbuliwa na ugonjwa wa minyoo.
Albendazole ikitumika vizuri kama inavyotakiwa huua kabisa vimelea vyote (sensitive parasites). Usitumie Albendazole kama una aleji (allergy) na kiambato chochote kilichopo kwenye albendazole au benzimidazole (mfano, Rabeprazole). Wasiliana na wataalam wako wa afya kama chochote kati ya hivyo viwili hapo juu kinakuhusu.
