Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Nimemuonaaa na mm lakini mbona kama umempa kikaratasiii...halafu huyu mhudumu uliyempa pasiwedi akaweke vocha mbona kama kalizimia kava la simu
Nimemuonaaa na mm lakini mbona kama umempa kikaratasiii...halafu huyu mhudumu uliyempa pasiwedi akaweke vocha mbona kama kalizimia kava la simu
Pole binamu imejitetea sanaBandiko zuri sana mdau, asante lakini unajua ni kwanini wengine hatuna huo muda wa kukaa tunasoma au kutafuta maarifa mapya kila wakati? Tumeanza majukumu ya familia tukiwa wadogo na hadi tumeweza kununua simu na laptop kuingia JF ni kwa sababu tumeajiriwa na muda wote mwajiri anatutumia hatupi nafasi ya kufanya yale tunayopenda. Kikubwa tunafanya kazi kuhaklikisha watoto wetu waka sawa, hawawi kama sisi. Mungu kumtanguliza ni sawa, lakini si hata kwa Mungu kuna madaraja? bahati mbaya ukiniangalia mtu kama mimi, nyumba zuri zote mjini nilikuwa kibarua, mkono wangu upo kweli kila tofari la pembeni, nilitamani kuweka jina langu lakini mpiga plasta akasema hataki uchafu. Mpiga rangi naye akasema plasta ina harara hivyo akapiga rangi kuondoa harara, hawa wote kama mimi tu nao hawatambuliki na sadaka wanatoa.
Haka katoto ka imam wangu nakaangalia kila siku kanavyotoka chuo kikuu kanakuja na maneno makubwa makubwa, kanachosha akili yangu ambayo matofari na misumali imeichosha, na kakianza kuongelea kuondokana na umaskini nakatizama maana najua kabisa zaka zangu ndo zinakafanya katambe, kanasema kana homuweki wakati mmi na wenzangu homuweki yetu ni kitandani nikirudi home namkuta wifi yako ananisubiri kuniongezea uchovu.
siandiki haya kujitetea na kupotosha lakini natamani uandike wengine ninaowafanyia kazi na wananilipa wanithamini, watambue kabisa nyasi nikifyeka nawaepusha na nyoka.
Sasa umeziona akili zangu za week days
Mimi ankaliKwani ww ni nani![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
...biashara ya simu sijawahi kufanya kwa kweli labda unifundishe. sasa fanya fasta kutuma namba ili nishiriki fursa. Afu unaonekana wewe ni mtu makini sana maana unaongea biashara, sasa mimi nimevuana korosho hapa unaweza kuniunganisha na wafanyabiashara wanunue, mimi narudisha mtaji faida unakula wewe 96 percent

Nimemuonaaa na mm lakini mbona kama umempa kikaratasiii
Ai tafaadhali kijanaWeww hapo etiii
Mambo gani tunafanyianaa ankoo binamu ujee wewe ndo umenitoaa ndanii kwamba tuzuge na unajuaa tokea jpili yaliyonikutaaa...kikaratasi kile nilitaka bili yangu asijumulishe na ya kwako maana nilione heineesy ulizopeleka meza ya karibu na kaunta
Naombaaa nikuulizeeee...Ai tafaadhali kijana
Bia za j4 zinachanganyaa
Naombaaa nikuulizeeee...
...biashara ya simu sijawahi kufanya kwa kweli labda unifundishe. sasa fanya fasta kutuma namba ili nishiriki fursa. Afu unaonekana wewe ni mtu makini sana maana unaongea biashara, sasa mimi nimevuana korosho hapa unaweza kuniunganisha na wafanyabiashara wanunue, mimi narudisha mtaji faida unakula wewe 96 percent

waaow tena korosho huku niliko wahitaji ni wengi etii aisee ntakuwaje tajiri mimi namba natuma sasa hivi 96%ya faida ni yangu nakosaje kukugea namba
Sema wahudumu leo wamekaa kiwiziwiziii make naonaa ushaingizwa mkenge na mshemsho plus kongorooha hahhahah, na hivi unaangalia game la PSG na Liva basi ni balaa tupu
Tokeaa bia ya kwanzaaa ninaloo jibu...kabla ya kuuliza ni vizuri ukawa na majibu
UlizaaaNaombaaa nikuulizeeee...
Koroshooo au kuchumaaa kisamvu mpaka ukimbieewaaow tena korosho huku niliko wahitaji ni wengi etii aisee ntakuwaje tajiri mimi namba natuma sasa hivi 96%ya faida ni yangu nakosaje kukugea namba
Nini tena jamaniUlizaaa