Makapuku Forum

Makapuku Forum

Baasi kwenye uzi wetu kule kuna kipindi wanajaa,mpaka nshazoea hizo picha
Yaan numbii majuzi kati usiku habari na hoja nimekuta story ya nyoka black mamba sijui mtu anamtaka si nikafungua uzi kusoma nakuta mapicha nilipataje shida usiku kutaka kwenda kukojoa jamani nahisi nikishusha mguu huyo hapo ananitambaa nipo kitandani naogopa kiumbe nakiogopa kuliko chochote
 
Nipo namshangaa huyu jamaa,vita anayoenda kuianzisha sio ya kitotrooo
40621524_1528802537219244_741312794395687889_n.jpg

 
Pale sio kabisa. Total yummy
Pale kati patamu
Mbele ya urembo na kwenda na wakati utaweza tu,just imagine umepanda hadhi ghafla upo na mashosti nyota tano,kwao kula ka sahan ka ndizi mbivu,hotelin kwa bei ya million moja si kitu lazima ujikaze uende nao sawa.
Uwiiiiii jamani jamani mm ni muoga naanzaje kuwekewa mwilini woiiiii nahisi kabla sijawekewa nimeshajikojolea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom