Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Nah haimaanishi sitakuwa natoa bila kuombwa, ila labda sijaelewa mnaposema natakiwa nisiombwe nitoe tu ina maana kila siku/wiki/mwezi natoa tu hela!?. Mara moja moja kumpa as kanunue vitu vyako or kaspend ni kawaida but najisikia vizuri nikinunua kitu kumpa. Ila hela nataka aniombe mwenyewe.Ebu acha ubahili wako wick mwanaume unatakiwa ucheze nafasi yako mwanamke awe na kazi au asiwe na kazi sio mpaka uombwe
Mm jamani kama unasubiria nikuombe utasubiri mpaka Yesu arudikuomba siwezi mm na ujanja wako wote kama hunipi ndio ushajipatia mbebeza wa kumkula bila hata kumuhudumia siku moja moja
Acha nilale jamani
Hapo najua kweli ana shida mpaka kaniomba!. Ubahili navyoona ni kumwambia sina kila akiomba sio kutompa kama hajaniomba!


