Makapuku Forum

Makapuku Forum

1.Ukimpata Handsome, Kichwa Chake Ni Empty.
.
2. Ukimpata Genius, Yuko Serious Masaa 24 Na Wengi Huwa Hawako Romantic, Hawajipendi Kihiivyo, Wako Rafu Mno.
.
3. Ukimpata Tajiri, Mara Nyingi Hawezi Kukuheshimu Full Madharau, Utamwambia Nini Wakati Hela Anayo Bhana.
.
4. Ukimpata Mfanyakazi Hodari Na Mtafutaji, Hana Muda Wa Kuwa Na Wewe, Muda Wote Anawaza Kazi Na Kutafuta Maisha.
.
5. Ukimpata Mnyenyekevu, Mfukoni Huwa 0%.
.
6. Ukimpata Anayekupenda Kwa Dhati, Anakuwa Siyo Type Yako, Hana Pozi Zile Unazitaka Wewe.
.
7. Ukimpata Msomi, Hasikilizi Ushauri Wako, Anakuona Boya tu.
.
8. Ukimpata Yule Smart, Ni Muongo To The Maximum Na Player.
.
So listen to your heart... na shukuruni kwa kila jambo, toka anguko la Adam hakuna mtu perfect, hata wewe hauko perfect.
.
Kwa nini kulilia watu perfect wakati wewe mwenyewe hauko perfect?? Cc Wick ukuje ujisome
Screenshot_20180915-103858.jpeg
 
Mwaka 1940 jeshi la anga la Uingereza (RAF) walikuja uongo kwamba karoti zinasaidia katika kuboresha uwezo wa mtu kuona, ila ukweli ni kwamba hiyo ilikuwa ni janja ya kuwadanganya jeshi la anga la Ujerumani wasijue teknolojia ya rada ambayo uingereza walikuwa wanaitumia kudungua ndege zao usiku, hivyo ujerumani pamoja na raia wakawa wanaamini kwamba karoti ndizo zilikuwa zinasaidia marubani wa uingereza kuweza kuziona ndege za kivita za wajerumani na kuzitungua usiku.

Ukweli ni kwamba karoti zinasaidia kuongeza vitamini A ambapo inasaidia katika kuimaisha macho na wala sio kumwezesha mtu kuona vizuri, pushapu za kila siku zinaweza kukusaidia kuona vizuri kuliko hata kula karoti.

Ila uongo huo uliokoa Dunia dhidi ya utawala wa Hitler, lakini cha kushangaza mpaka leo watu wanaamini karoti zinasaidia katika 20/20 vision ya macho.
Screenshot_20180915-103749.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom