dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Kuna jamaa nilikua namtingishia kiberitiNasahau vipi kwa mfano ebu tuendelee na ww siku hizi mbona sikuoni na baby wako uliyenitambulisha
Jf bana

Kuna jamaa nilikua namtingishia kiberitiNasahau vipi kwa mfano ebu tuendelee na ww siku hizi mbona sikuoni na baby wako uliyenitambulisha


na shukuruni kwa kila jambo, toka anguko la Adam hakuna mtu perfect, hata wewe hauko perfect.
Kuna jamaa nilikua namtingishia kiberiti
Jf bana![]()
![]()
Amna, wapi huko tumepishana tenaNaona mnapishana tu
Sioni mibebisho mana nikikumbuka mikwara niliyopigwa kipindi kileAmna, wapi huko tumepishana tena
Kila mtu akabaki jimboni mwakeKhaaa mwisho wake ikawaje sasa
Kila mtu akabaki jimboni mwake
tu subiri wagombea wengine wajitokeze








Hiyo "hbr" imenipa tabu kuigundua kua ni habari
Ila mapumziko ya mwisho Wa juma yanaenda vizuri sijui kwa upande wako
ulidhani ni nn mkuu
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ulidhani ni nn mkuu
Haya mambo wee acha ila kuna raha yake
Kila nikijaribu kulifikiria naona kapa ikabidi nigesi tu maana meseji fupi huwa na aleji nazo![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ulidhani ni nn mkuu
Haya mambo wee acha ila kuna raha yake
Yaani upo kama mm yaan huwa hata kusoma siwezi halafu mtu akiandika kiufupi namuona mtoto wangu kabisaKila nikijaribu kulifikiria naona kapa ikabidi nigesi tu maana meseji fupi huwa na aleji nazo