Makapuku Forum

Makapuku Forum

HATIMAE TOFAUTI ZILIZOKUWEPO KATI YA MEEK MILL NA DRAKE ZIMEFIKIA KIKOMO

Wasanii ni vioo vya jamii, kila wanachokifanya huakisi kile kinachoendelea kwenye jamii.

Ugomvi na kutoelewana ni sehemu ya Maisha japo tofauti zozote huweza kumalizwa kwa njia tofauti ila cha msingi ni kudumisha Amani na Upendo.

Drake na Meek Mill walikua ni kati ya watu wenye tofauti kubwa na hata watu kutabiri kuwa hawatokuja kupatana kamwe.

Ila hii imekua tofauti baada ya wawili hao kupatana Live mbele ya kadamnasi ya watu waliohudhuria Show.

ningendako nimekukumbuka mm haswa nilivyoona hii habari ya Drake uko usukumani nani amekuteka wakuachie kidogo
20180909_170120.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom