eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,400
Labda huyo msukuma awe ameloea Dar kama masanja mkandamizaji hapo utaponaZa nyumbani zina tofauti gani na hizo
Labda huyo msukuma awe ameloea Dar kama masanja mkandamizaji hapo utaponaZa nyumbani zina tofauti gani na hizo
![]()
![]()
kupika kwenye nini
Lile la mawe matatuKwenye jiko la kuni
Lile la mawe matatu
Nimekwambia utapata tabu sana usukumani hukoKwetu tanga majiko yenu ya kuni yamejengewa kabisa kwa udongo kuni zinaingizwa kwa chini tu sasa sijui ya usukumani
kule sio tanga
Asantee mrs infoJe wajua au unataka nikujuze zaidi kuwa nami shunie shunie