eden kimario
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 10,356
- 16,401
Labda huyo msukuma awe ameloea Dar kama masanja mkandamizaji hapo utaponaZa nyumbani zina tofauti gani na hizo
Labda huyo msukuma awe ameloea Dar kama masanja mkandamizaji hapo utaponaZa nyumbani zina tofauti gani na hizo
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kupika kwenye niniNalijua tena kupika kwenye kuni
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kupika kwenye nini
Lile la mawe matatuKwenye jiko la kuni
Lile la mawe matatu
Nimekwambia utapata tabu sana usukumani huko [emoji3] kule sio tangaKwetu tanga majiko yenu ya kuni yamejengewa kabisa kwa udongo kuni zinaingizwa kwa chini tu sasa sijui ya usukumani
Yeruuuuu...[emoji3][emoji3][emoji3] bei sijui kakaSawa dadake bei Tafadhali
Asantee mrs infoJe wajua au unataka nikujuze zaidi kuwa nami shunie shunie