Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Ndemola jakwenyneNg'wadila. Ulimhola?
Ndemola jakwenyneNg'wadila. Ulimhola?
That's the spirit shemeji. Karibu sana. Tena tutakuchinjia dume la ng'ombe (iyagamba) kuonyesha heshima na jinsi tunavyokukubali. Tutunzie tu kijana wetu na usimharibu na mambo ya limbwata pulizi![]()
Sawa dadake pole na majukumu habar ya siku nyingiKaká mwenyewe nimekuwa adimu sana jf nina karibia week ndio nimeingia juzi usikute ulivyotoka na mm nilitoka jamani nisamehe tu
Sawa dadake pole na majukumu habar ya siku nyingi
Oooh pole na hongera kwa majukumu kakaNipo dadangu majukumu yamenibana sana mpaka masahau kuwatafuta ndugu nisamehe bure
We mwanamke unaendekeza sana Heineken
Asante dadake naimefurahi kusikia mzima maana naona kukaa nje ya mtandao nakosa mengi sanaSafi kaka angu nafurahi kukuona
Asante za hapo ulipo viwanda vinajengwa?Oooh pole na hongera kwa majukumu kaka
Wala usijali tuko pamoja
Mi sio wa darMwanaume wa dar utamjua tu
We mwanamke unaendekeza sana Heineken
Aahhh me simuonei wivu banaaSasa je kwahiyo msioneane wivu
Asante dadake naimefurahi kusikia mzima maana naona kukaa nje ya mtandao nakosa mengi sana
Niko salama za huko?Ndemola jakwenyne
Mi sio wa dar
Nimemuuliza tu Baada ya kuona Neno ugali mkubwa maana hii ni kazi ya msukuma
Na sio mkubwa tu na mgumu mno
Hapo sawa shemeji. MkabarikiweHahhaha mm sinaga limbwata mapenzi yangu ni limbwata tosha ninavyopenda nyama sasa umenitamanishaje cc @wick



Nashukuru dadakeUsijali kaka ukipata mda kama hivi unaingia kikubwa uhai na mtandao upo tu







Hapo sawa shemeji. Mkabarikiwe![]()