Makapuku Forum

Makapuku Forum

.
Screenshot_20180909-074312.jpeg
 
Hutak miamala?
Miamala hata kama sipo jf si inaingia

Kipindi kile jf imefungiwa tumeahamia KT kwa wakenya nikasema no yako sina nikakumbuka nikupe taarifa nitakupaje imebidi niingie insta nimtumie text pacha wako nikamsalimia nikamwambia akwambie nikachuniwa nikasema huruma yangu masikini imeniponza shunie mm najuta basi angejibu tu hata sawa nikamwambia nikasema nimekoma tena nilituma na link masikini
 
Miamala hata kama sipo jf si inaingia

Kipindi kile jf imefungiwa tumeahamia KT kwa wakenya nikasema no yako sina nikakumbuka nikupe taarifa nitakupaje imebidi niingie insta nimtumie text pacha wako nikamsalimia nikamwambia akwambie nikachuniwa nikasema huruma yangu masikini imeniponza shunie mm najuta basi angejibu tu hata sawa nikamwambia nikasema nimekoma tena nilituma na link masikini
pole
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom