Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
Bora maana imekua wimbo hili neno, asije kuwa anawaambia hadi wenzie huko kwenye group zao!..Hili ntakupa uzoefu zaidi tukiwa wenyewe bwana!
Bora maana imekua wimbo hili neno, asije kuwa anawaambia hadi wenzie huko kwenye group zao!..Hili ntakupa uzoefu zaidi tukiwa wenyewe bwana!
Ndio tulivyoKwenye kula na kunywa kuchangishana mamilioni ni kawaida ila kwenye shida utapata tabu sana
Hahahahahahaha,Nataka siku unatua pale stand unikute nae!..🙂
Haahhaha kumbe ndio alivyoHahahahahahaha,
Wewe linjemba unaweza hata ukammeza ili nisimwone!
Kisa siwezi kukukasirikia au!?.. ushasahau haki sawa tunaziacha getini mama!?..Maksudi tu
Tena ilibaki kidogo niwe wa kwanza kupleji,Yeye alitaka kupledge elf 50 yake
Bichwa kubwa ubongo wa mende
Wako na grupu zao humu ???Bora maana imekua wimbo hili neno, asije kuwa anawaambia hadi wenzie huko kwenye group zao!..
Unaanzaje kunikasirikia babeKisa siwezi kukukasirikia au!?.. ushasahau haki sawa tunaziacha getini mama!?..
Yani nigharamike kuja mfungulia file mtu, hata siku moja!..Hayapendi kushare taarifa muhimu ili kupunguza upinzani.
teh teh teh teh, hii njemba inapenda kufungia mafaili yote.
Tena ilibaki kidogo niwe wa kwanza kupleji,
Nashukuru simu iliita lakini bila hivyo ningefedheheshwa sana!





Nacheka mmKwenye kula na kunywa kuchangishana mamilioni ni kawaida ila kwenye shida utapata tabu sana
...mende ana ubongo kichwani na mwingine matakoni (kama hujalewa utaelewa), unaongelea ubongo upi sasa maana kama ni bichwa lisiloota nywele au ni hili lenye nywele





Watu washalewa balimi hajua kama weekend imeanza leoHahahahahahaha,
Jamaa kanisweka kwenye kamati kisa mimi rafiki wa chuo.
Mimi nkapata bichwaa kumbe ananichimbia kaburi, shubamiiit.
Hahahahahaha,...tupo kwa ajili ya kula na kunywa, hilo ndo la msingi, shida ni jambo la kibinafsi sana
Hahahahaha,...ndo maana mimi huwa naishia kutoa mchango wa HALI maana huu unasaidia sana
Tena ilibaki kidogo niwe wa kwanza kupleji,
Nashukuru simu iliita lakini bila hivyo ningefedheheshwa sana!
Shape si ipo mama!.. me ukivaa suruali hata siioni uzuri!.Si unajua vile napenda gauni fupi
Hahahahahahahahahahaha!Yani nigharamike kuja mfungulia file mtu, hata siku moja!..
Kila mtu apambane kivyake kupata bana!.. wote si tuna sauti na vingine vile sawa!..