Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,194
kanga zitakuhusu!...Unaanzaje kunikasirikia babe
kanga zitakuhusu!...Unaanzaje kunikasirikia babe
Hahahaha, aiseeeee!kuna server yao moja sijaiona leo active!... utaiona tu ikiwa online!..
Wengi anko tunajuana majukwani tu hata kuonana hatujuani tunafananajeWako na grupu zao humu ???
Hahahahaha,
Tena kwangu mimi mwenye mvi ndiyo lazima atakimbia kabisa
Sema nikinywa kidogo aibu zinatokaSasa wewe ukikutana na wazee kama sisi si unaweza kuzimia kabisa ??
Hahhahhaa nani huyo acha kufatilia watu babekuna server yao moja sijaiona leo active!... utaiona tu ikiwa online!..
Kanga babekanga zitakuhusu!...
Hahahahahahahahahahaha!
Everi goti willi iti ze long of hiz ropu



Wengi anko tunajuana majukwani tu hata kuonana hatujuani tunafananaje
Baaada ya harusi niliapa sintorudi tena.
Wale jamaa wanaweza kukufanya chochote kibaya.
Neva prei with leki zoni,......

uzuri wetu wengine sisi ukiahidi ng'ombe unaogopeka kumbe ukiwabadili kua makaratasi ya mzungu kawaidaa!!..
Mhhhhhh na vijana wa siku hizi wasivyo na adabu hawachelewi kukufungulia uzi,
Utasikia Malcom Lumumba ana mpua mkubwa kama matundu ya chupi na likitambi kama mimba ya fisi.


















anko kumbe na nyie mnaogopaga kama sisi woiiii sisi wenyewe tunawazaga hivi hiviMhhhhh, watu kama nyie siyo wa kupeleka out.Sema nikinywa kidogo aibu zinatoka
Hahaha sitaki kabisaaa,uzuri wetu wengine sisi ukiahidi ng'ombe unaogopeka kumbe ukiwabadili kua makaratasi ya mzungu kawaidaa!!..
Yaan anko nikiwa mzima hivi nakuwa na aibu jamani labda nikinywa kidogo aibu zinanza kupungua hapo ni story tu na kuchekaMhhhhh, watu kama nyie siyo wa kupeleka out.
Wakati wenzako wakinywa ndiyo zinawaruka....
Nimehairisha kabisa, tutaonana tu stendi
we msambaa angu tu!...Acha nizidi kukupenda mm
Na wewe mnyatuzu wangu tuwe msambaa angu tu!...
Unanielewaga mpaka nakuogopa, una mpango gani na mimi!!...Shape ya kabatiacha nilale babe najua unakesha sijui upo club na vile ukienda club lazima uokoteze wick wangu mwanamke wa kurudi nae usisahau kutumia condom babe
Kulaa kunywa kuna tabu yake!!Kula na kunywa
Usiogope babe sababu nakujua condom ni muhimu kuliko chochote usisahau ukiwa unaokota clubUnanielewaga mpaka nakuogopa, una mpango gani na mimi!!...
Hahahahahahaha,Yaan anko nikiwa mzima hivi nakuwa na aibu jamani labda nikinywa kidogo aibu zinanza kupungua hapo ni story tu na kucheka
Usijali bwana, huyu haendagi La Charlz yeye viwanja vyake ni kule George and Dragon tu....Usiogope babe sababu nakujua condom ni muhimu kuliko chochote usisahau ukiwa unaokota club