Makapuku Forum

Makapuku Forum

Niliwahi kuwa mwanakamati kwenye harusi moja hivi bwana, sasa muda wa mchango ulivyofika.
Wale watu wa kanda ya ziwa wakafanya watu tuogope kuchanga.
Hahaha ikabidi nichukue jagi la maji nijifanya nanawisha mikono wazee!
Ile wamezubaa nilitoka ndukiii
Pledge za nitatoa ***** lakini itaongezeka kadri bwana harusi atavonifurahisha!..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom