Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Si nilivipenda tu mmVile vigauni alivyonunua Ray ukataka ulipize sio kuringishia kule!?..
Si nilivipenda tu mmVile vigauni alivyonunua Ray ukataka ulipize sio kuringishia kule!?..
Mhhh, kamanda hawezi kutoa jibu katika hili..Akikujibu anko uniite.![]()
Mbali na ubahili wa pesa, pia ni mbahili kutoa taarifa kama hizi....
Yeye kimya kimya tu....
we si muoga wa mang'ombe lakini. UngenisindikizaMh babee
Mhhh, kamanda hawezi kutoa jibu katika hili..
we si muoga wa mang'ombe lakini. Ungenisindikiza
Labda nisaidie ajue hili..Hahahaha,
Huyu msukuma hawezi kutoa taarifa nyeti kama hizo.
Tena ambazo ni siri za kambiiiii, hata nikimuuliza atakataa tu!
Niliwahi kuwa mwanakamati kwenye harusi moja hivi bwana, sasa muda wa mchango ulivyofika.Wapi huko anko kakukumbusha
Sio huyo!..Anhaa huyo hapo kwenye Avatar ndiyo yeye ???
Nimeuliza niko na balimi za anko
Nipe uzoefu ulilisolve vipi bila lawama hilii😀..Hahahahhahaa,
Umenikumbusha mbali sanaaaa!
Nakuonaaa unatesekaaa naye...hizi anko ziweke kwenye friji kwanza hadi zianze kutoa jasho. Sasa hivi nimekamatia mwanamke nyonga hapa inatoa jasho kama la kikwapa lakini ndo starehe yangu
Yaani anko tumosa sio mzurulaji masikini akitoka entertainment anarudi makapuku na akiona watu hamna atatoka kuwatafuta majukwaa yote
Labda nisaidie ajue hili..
Hapo kwa kutotoa taarifa nimempenda zaidi ila ubahili wa pesa aache
Hii njemba mimi naifahamu vizuri,..Hahhahaha kwa nn asitoe




Nimecheka kwa sauti mwenyewe
Niliwahi kuwa mwanakamati kwenye harusi moja hivi bwana, sasa muda wa mchango ulivyofika.
Wale watu wa kanda ya ziwa wakafanya watu tuogope kuchanga.
Hahaha ikabidi nichukue jagi la maji nijifanya nanawisha mikono wazee!
Ile wamezubaa nilitoka ndukiii
Kumbe unafanya makusudi eeh!?...Zina utata gani babe picha zangu hhhaha eti nimekublock stts na dp unakutana na kivuli tu
Yaani akiwakosa anaulizi mmejificha wapi leo...ha hahha, na kila akija ananikuta nimebarizi tu hapa
Shunie unaona sasa ??Sio huyo!..