Makapuku Forum

Makapuku Forum

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nimecheka kwa sauti mwenyewe
Niliwahi kuwa mwanakamati kwenye harusi moja hivi bwana, sasa muda wa mchango ulivyofika.
Wale watu wa kanda ya ziwa wakafanya watu tuogope kuchanga.
Hahaha ikabidi nichukue jagi la maji nijifanya nanawisha mikono wazee!
Ile wamezubaa nilitoka ndukiii
 
Back
Top Bottom