Makapuku Forum

Wallah nimejisemea tu sizipendi mm
Nilitaka nishangae!!

Mie beach sitafuti six packs wala nini pumzi tu hata za kukimbia km 7 bila kusimama, hata watoto wadogo wakikuvuruga unawatia adabu,

mara nyingi hasa nikiwa na muda kama hivi huwa naenda kucheza soka la ufukweni
 
We hutaki chura
 
Maka mm muhenga na kupenda six pack wapi na wapi jamani
Nilitaka nishangae!!

Mie beach sitafuti six packs wala nini pumzi tu hata za kukimbia km 7 bila kusimama, hata watoto wadogo wakikuvuruga unawatia adabu,

mara nyingi hasa nikiwa na muda kama hivi huwa naenda kucheza soka la ufukweni
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…