makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 36,011
- 104,597
Wangese hawa.Idara ya Maafa imesema hakuna tishio la tsunami katika Bahari ya Hindi na kwamba taarifa inayosambazwa si ya kweli.
Mkurugenzi wa idara hiyo amesema, taarifa za tsunami zinapotolewa wananchi hawachukulii uzito, hivyo leo walilenga kuangalia wananchi watalichukuliaje tishio hilo.View attachment 858921


