Makapuku Forum

Makapuku Forum

Vyungu venginevyo hutokana na matokeo ya vilabu vilivyoshindana katika misimu mitano iliyopita kwenye ligi za Ulaya na pia namna ushirikiano wao ulivyokuwa.
Liverpool itafuzu katika chungu cha pili iwapo Benfica haitofuzu, upande ulio na matokeo mazuri katika misimu uiliyopita kuliko wao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Klabu kimoja kutoka kila chungu kitakutanishwa kuunda makundi manane ya timu nne. Vilabu kutoka taifa moja haviwezi kukutanishwa katika awamu hii.
Zilizopangwa tayari:
Chungu cha kwanza: Real Madrid, Atletico Madrid, Barcelona, Bayern Munich, Manchester City, Juventus, Paris St-Germain, Lokomotiv Moscow.
Chungu cha pili: Borussia Dortmund, Porto, Manchester United, Shakhtar Donetsk, Napoli, Tottenham Hotspur, Roma.
Chungu cha tatu: Schalke, Lyon, Monaco, CSKA Moscow.
Chungu cha nne: Club Brugge, Galatasaray, Inter Milan, Hoffenheim.
Zinazotarajiwa kuamuliwa: Liverpool, Valencia, Viktoria Plzen, plus six play-off winners.
Matokeo ya awamu ya kwanza ya duru ya pili:
Ajax 3-1 Dynamo Kiev, Vidi 1-2 AEK, Young Boys 1-1 Dinamo Zagreb, Benfica 1-1 PAOK, BATE 2-3 PSV, Red Star Belgrade 0-0 Salzburg.
Soka inaanza lini?
Awamu ya kwanza ya makundi katika ligi ya mabingwa Ulaya itachezwa Septemba 18 na 19 huku vilabu vikicheza mechi zao sita za mwisho Desemba 11 au 12 .
Bale awasaidia Real kushinda, Ronaldo ashindwa kufunga
Awamu ya mtoano itaanza Februari, huku mashindano yakikamilika kwa fainali katika uwanja wa Atletico Madrid - Wanda Metropolitano Juni mosi, 2019.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mlindalango wa Liverpool Simon Mignolet, 30, anasema inashangaza kwamba klabu hiyo ya Anfield ilimruhusu kipaLoris Karius kujiunga na Besiktas ya Uturuki kwa mkopo. Mbelgiji huyo anasema hajui mustakabali wake katika klabu hiyo ya England. (Liverpool Echo)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beki wa Tottenham Danny Rose, 28, huenda akahamia Marseille - kwa mkopo au kwa mkataba wa kudumu - katika juhudi zake za kutaka kujiimarishia nafasi ya kucheza katika timu ya taifa ya England. (Star)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Beki wa Tottenham Danny Rose, 28, huenda akahamia Marseille - kwa mkopo au kwa mkataba wa kudumu - katika juhudi zake za kutaka kujiimarishia nafasi ya kucheza katika timu ya taifa ya England. (Star)

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Meneja wa Newcastle Rafael Benitez amesema anaridhishwa na uamuzi wa kuchelewesha mazungumzo kuhusu mkataba wake mpya hadi mwaka ujao. Mhispania huto alitarajiwa kutia saini mkataba mpya kabla ya msimu lakini sasa anasema anafikiria tu kuhusu mechi. (Goal)

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom