Klabu kimoja kutoka kila chungu kitakutanishwa kuunda makundi manane ya timu nne. Vilabu kutoka taifa moja haviwezi kukutanishwa katika awamu hii.
Zilizopangwa tayari:
Chungu cha kwanza: Real Madrid, Atletico Madrid, Barcelona, Bayern Munich, Manchester City, Juventus, Paris St-Germain, Lokomotiv Moscow.
Chungu cha pili: Borussia Dortmund, Porto, Manchester United, Shakhtar Donetsk, Napoli, Tottenham Hotspur, Roma.
Chungu cha tatu: Schalke, Lyon, Monaco, CSKA Moscow.
Chungu cha nne: Club Brugge, Galatasaray, Inter Milan, Hoffenheim.
Zinazotarajiwa kuamuliwa: Liverpool, Valencia, Viktoria Plzen, plus six play-off winners.
Matokeo ya awamu ya kwanza ya duru ya pili:
Ajax 3-1 Dynamo Kiev, Vidi 1-2 AEK, Young Boys 1-1 Dinamo Zagreb, Benfica 1-1 PAOK, BATE 2-3 PSV, Red Star Belgrade 0-0 Salzburg.
Soka inaanza lini?
Awamu ya kwanza ya makundi katika ligi ya mabingwa Ulaya itachezwa Septemba 18 na 19 huku vilabu vikicheza mechi zao sita za mwisho Desemba 11 au 12 .
Bale awasaidia Real kushinda, Ronaldo ashindwa kufunga
Awamu ya mtoano itaanza Februari, huku mashindano yakikamilika kwa fainali katika uwanja wa Atletico Madrid - Wanda Metropolitano Juni mosi, 2019.
Sent using
Jamii Forums mobile app